Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

Hapana wako karibu na wakulu, Mkapa, Magu na Pinda

...huo ukaribu unajua unatokana na nini?
Pale sentipita 98% ya mafadher...n.k ni wanatyss &! Niishie hapa!!!....
... kuna siku pia utaijua rangi halisi ya gwajboy!!!
 
Mie tangu nione "Roo-wa-each" katumiwa ndege ya Rais kuletwa Muhimbili kwa matibabu na yaliyofuatia kwenye tukio lile,nilijua tu "yamekwisha".
 
Acha wivu ulitaka askofu asemeje tatizo mnapenda hii nchi tuingie vitani !mbona Kama kiongozi wa kiimani ameongea vizuri kabisa
Hakuna mwanadamu mwenye akili timamu asiyetaka amani. Watu huingia kwenye mapigano wanapoona hawana amani mioyoni mwao na njia zilizo rahisi zote zimefungwa.

Kanisa kama taasisi ambayo waumini huamini ni taasisi ya Mungu, wanatarajia siku zote kunena yaliyo ya haki na kweli. Huyo Askofu ni kipofu na kiziwi kiasi gani asione au kusikia juu ya wagombea zaidi ya 90% kutoka upande mmoja kuenguliwa kwa hila?
 
...huo ukaribu unajua unatokana na nini?
Pale sentipita 98% ya mafadher...n.k ni wanatyss &! Niishie hapa!!!....
... kuna siku pia utaijua rangi halisi ya gwajboy!!!

Kwa nini iwe wao, vipi Anglican, Sabato, KKKT, sidhani ni ukaribu tu kwa kuwa viongozi hao wote ni wakatoliki haina sababu ni Ts
 
Ni wajinga pekee wanaoamini kuwa kanisa katoliki ni taasis ya kiroho!hii ni taasisi ya kishetani inayotawala dunia!!!na ina maamuzi yote ya dunia!!!hakuna jambo duniani linafanywa bila baraka ya kanisa katoliki!!!
 
nawahurumia wanaopotezaga muda wao kwenda kuwasikiliza hawa mafisadi,wazinzi,wanafiki,wezi wa sadaka na matapeli kanisani
 
Sita comment chochote mpaka ntakaposikia mwenyewe kwa masikio yangu!
 
We have this problem, very huge problem, Oversimplification of things.
Wachangiaji wengi hapa JF isipokuwa wewe, barafu na wengine wachache, wengi wanajaribu kuaminisha watu kwamba raisi wa baraza la maaskofu wa katoliki amefanya maamuzi haya peke yake na sio maamuzi ya kanisa likiwakilishwa na maaskofu wote walioshiriki kikao cha kupitisha hili tamko au waraka.

Inawezekana vipi kwa muundo wa kufanya maamuzi wa TEC msimamo wao utokane na mapenzi ya mtu mmoja, raisi wao?
Angalau wewe na mleta mada mme ubebesha mzigo huu kanisa lote.

Tujadili kwa upana.
 
Wee jamaa lazima utakuwa watukumeni mtu mwingine awezi kulichamba kanisa katoliki la mitume kiasi hiki vipi pengo bado ajafungasha.ndiye mlikuwa mnamuangushia mizigo kama hii
 
Kwa nini iwe wao, vipi Anglican, Sabato, KKKT, sidhani ni ukaribu tu kwa kuwa viongozi hao wote ni wakatoliki haina sababu ni Ts

Ndio maana nikasema "niishie hapa"...then nikasema ipo siku utajua rangi halisi ya gwjboy!!
Huko kote wamejaa tele...
Hayo si ya kuweka hapa!
Case closed!
 
Ofcourse kama ni kweli kayasema hayo ni mzigo wa kanisa lote ukizingatia pia kwa sasa yeye ndiye alama ya umoja wa Kanisa Nchini aikiwa kama Raisi wa TEC na kama sio inabidi ukanushwe. Lakini tusisahau huo sio waraka wala tamko bali yalikua ni mahubiri yake katika ibada anayoyatoa kama padre mwingine tu. In short something is very right or very wrong somewhere.
 
Ndio maana nikasema "niishie hapa"...then nikasema ipo siku utajua rangi halisi ya gwjboy!!
Huko kote wamejaa tele...
Hayo si ya kuweka hapa!
Case closed!

Mimi sishangai, si imemuonya Mzee Full Gospel kawa mpole.

Ila chondechonde msije sema na nabii Tito naye.
 
mjinga hujui chanzo anatoa mapovu tu.Hii habar yake italeta tafsir ya udini jambo ambalo sio jēma kwa ustaw wa taifa. Ukaribu wake na jiwe asituhalalishie uhuni uliofanywa nà CCM. Anahitaj kujibiwa huyu askofu mbinafsi
 
kanisa kujiingiza kuwalaumu waliojitoa ni kosa la ziada! hata kama anaumgana na serikali hakupaswa kuwalaumu waliojitoa maana ni haki yao ya kikatiba. ukiangalia kwa jicho la tatu unaona nia ya askofu ni kuwachafua waliojitoa katika uchaguz huo!

pendekezo langu tuwapuuze viongozi wa dini aina hii, hii haina uhusiano na kulipuuza kanisa. mtoa tamko ni mtu kama sisi na anamatamanio yake. cha kuzingatia ni kutambua Mungu husimama kwenye haka na usawa. cha kujiuliza. ni je kuna usawa katika siasa zetu? je kuna haki katika chaguzi zetu?? ukiona hivyo viwili havipo puuza wanaounga mkono
 
Mkuu kwa nafasi yake anatakiwa kuwa makini na mambo mtambuka lakin pia maccm manafiki yanaweza yakáwa yàmemzushia ili kuhálalişha uhuni wao
 
Siyo huyu kama aliyewekewa ubongo wa bandia, KATIKA operesheni yake. Anawataka wapinzani wakae meza moja, hivi kwa akili timamu kwa muda na jinsi Jafo na team yake walivyojipanga, HILI LINAWEZEKANA?

Kuna mambo mengine hayazungimziki. Hili uchaguzi halizungumziki; kwa sababu tu ya hofu iliyopitiliza watawala wameamua tu kuvuruga uchaguzi, kwa gharama yoyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…