Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Mkuu huo ni ukweli mtupu.
I dont trust these schools tangu nisikie kutoka kwa student aliesoma
shule nyengine kama hio ya milleniam ambayo ilikua ya kwanza Tz.
Waliwekewa vitabu chooni kwenda kucopy !!!!!
Naamini bado hayo yanaendelea
Wenzenu wanaamshana wakapige Lambert nyie mnaamshana mkafakamie daku usiku kucha mnatafuna tuu kama mchwa mchana mko taaban.Copy and pastes schools
alhalamain sijui vp matokeo yao na kinondoni muslim wadau
Wenzenu wanaamshana wakapige Lambert nyie mnaamshana mkafakamie daku usiku kucha mnatafuna tuu kama mchwa mchana mko taaban.
Mmevimbiwa.
Wenzenu wanaamshana wakapige Lambert nyie mnaamshana mkafakamie daku usiku kucha mnatafuna tuu kama mchwa mchana mko taaban.
Mmevimbiwa.
.....Lambert ni lile sanamu linaloning'inia kwenye panda ya mti !?? chongchung
Jaffery ni ya wahindi sio waislamu ipo njiro. na International School Moshi ni ya wazungu. hao waliobadilisha mtaala na kuweka wa Cambridge ni wale wanaotaka kusoma vyuo vya nje hata Arusha Modern walikua nayo.Wewe unazungumza kwa jazba .mimi nakupa ukweli kabisa. Mwanafunzi aliesoma ni mkristo cousin zake ni waislam walizungumza kwa ukweli kabisa ya kuwa msimamizi wa mtihani alikua mjamzito na wanafunzi walikua huru ku share jawabu .
Wakienda chooni ambako kulikua na vitabu na kurudi kwa sharti la ku share.
Sio suala la daku au futari .
Hawa jamaa wa seminari wenye 1st div. Numekutana nao wengi chuoni na hawakuinesha kuwa walipata msingi sawasawa.
Nakupa mfano mwengine Almuntanzir school ni moja ya school safi yenye walimu wazuri mpaka kutoka Kenya na india. School yao ina library ya kujitosheleza
Ina laboratory ilo sheheni vifaa.
School ina program nzuri ya kuwassidia hata wale ambao ni wazito.
School hizi ni za kisasa kabisa kuliko shule yoyote ya kanisa.ina bajeti ya kutosha kabisa .
Lakini linapokuja suala la necta walikua wakifelishwa kila mwaka...uongozi wa shule walichukua jukumu la kubadilisha mitaala na kufanya mitihani ya Cambridge na IGCSE
leo watafunzi wa hapo wako juu na kuna wanafunzi kama 8 wamepata 100% scholarship kwenda vyuo mbali mbali canada ikiwemo Unuversity ya Alberta.
Wangengangania necta wangepewa zero.
Hii pia ipo Jaffery Academy kule arusha.
Wapo vijana wengine wakiislam walipitia ISM Moshi na huko wamepata scholarship kwa kuwa juu .
Ukweli utabaki necta majanga na seminary wanahujumu uwezo wa watoto kwa kuwachia kucopy.
mzee wa daku, watu wanatafuta sifa kwenye vitabu, nyie kuamshana kula daku... Nimecheka sana...
Jaffery ni ya wahindi sio waislamu ipo njiro. na International School Moshi ni ya wazungu. hao waliobadilisha mtaala na kuweka wa Cambridge ni wale wanaotaka kusoma vyuo vya nje hata Arusha Modern walikua nayo.
mzee wa daku, watu wanatafuta sifa kwenye vitabu, nyie kuamshana kula daku... Nimecheka sana...
You are so far away from my intention nimemaanisha sio shule chini ya BAKWATA.....kwani wahindi hawawezi kuwa Waislaam !??...! au hutaki kila kilichokizuri kuhusishwa na Waislaam?
You are so far away from my intention nimemaanisha sio shule chini ya BAKWATA.
unahisi kila muislam ni mfuasi wa bakwata?
Mkuu huo ni ukweli mtupu.
I dont trust these schools tangu nisikie kutoka kwa student aliesoma shule nyengine kama hio ya milleniam ambayo ilikua ya kwanza Tz.
Waliwekewa vitabu chooni kwenda kucopy !!!!!
Naamini bado hayo yanaendelea
Wewe unazungumza kwa jazba .mimi nakupa ukweli kabisa. Mwanafunzi aliesoma ni mkristo cousin zake ni waislam walizungumza kwa ukweli kabisa ya kuwa msimamizi wa mtihani alikua mjamzito na wanafunzi walikua huru ku share jawabu .
Wakienda chooni ambako kulikua na vitabu na kurudi kwa sharti la ku share.
Sio suala la daku au futari .
Hawa jamaa wa seminari wenye 1st div. Numekutana nao wengi chuoni na hawakuinesha kuwa walipata msingi sawasawa.
Nakupa mfano mwengine Almuntanzir school ni moja ya school safi yenye walimu wazuri mpaka kutoka Kenya na india. School yao ina library ya kujitosheleza
Ina laboratory ilo sheheni vifaa.
School ina program nzuri ya kuwassidia hata wale ambao ni wazito.
School hizi ni za kisasa kabisa kuliko shule yoyote ya kanisa.ina bajeti ya kutosha kabisa .
Lakini linapokuja suala la necta walikua wakifelishwa kila mwaka...uongozi wa shule walichukua jukumu la kubadilisha mitaala na kufanya mitihani ya Cambridge na IGCSE
leo watafunzi wa hapo wako juu na kuna wanafunzi kama 8 wamepata 100% scholarship kwenda vyuo mbali mbali canada ikiwemo Unuversity ya Alberta.
Wangengangania necta wangepewa zero.
Hii pia ipo Jaffery Academy kule arusha.
Wapo vijana wengine wakiislam walipitia ISM Moshi na huko wamepata scholarship kwa kuwa juu .
Ukweli utabaki necta majanga na seminary wanahujumu uwezo wa watoto kwa kuwachia kucopy.
Go Catholic Church..
Hapo St. Joseph pia wapo Waislam Kibao na wamefaulu vizuri..
Wewe unazungumza kwa jazba
.mimi nakupa ukweli kabisa. Mwanafunzi aliesoma ni mkristo cousin zake
ni waislam walizungumza kwa ukweli kabisa ya kuwa msimamizi wa mtihani
alikua mjamzito na wanafunzi walikua huru ku share jawabu .
Wakienda chooni ambako kulikua na vitabu na kurudi kwa sharti la ku
share.
Sio suala la daku au futari .
Hawa jamaa wa seminari wenye 1st div. Numekutana nao wengi chuoni na
hawakuinesha kuwa walipata msingi sawasawa.
Nakupa mfano mwengine Almuntanzir school ni moja ya school safi yenye
walimu wazuri mpaka kutoka Kenya na india. School yao ina library ya
kujitosheleza
Ina laboratory ilo sheheni vifaa.
School ina program nzuri ya kuwassidia hata wale ambao ni wazito.
School hizi ni za kisasa kabisa kuliko shule yoyote ya kanisa.ina bajeti
ya kutosha kabisa .
Lakini linapokuja suala la necta walikua wakifelishwa kila
mwaka...uongozi wa shule walichukua jukumu la kubadilisha mitaala na
kufanya mitihani ya Cambridge na IGCSE
leo watafunzi wa hapo wako juu na kuna wanafunzi kama 8 wamepata 100%
scholarship kwenda vyuo mbali mbali canada ikiwemo Unuversity ya
Alberta.
Wangengangania necta wangepewa zero.
Hii pia ipo Jaffery Academy kule arusha.
Wapo vijana wengine wakiislam walipitia ISM Moshi na huko wamepata
scholarship kwa kuwa juu .
Ukweli utabaki necta majanga na seminary wanahujumu uwezo wa watoto kwa
kuwachia kucopy.