Askofu Protase Rugambwa avishwa hadhi ya Ukardinali

I mean Pope head of Catholic'
I believe this survey carried out by the CNN will answer your question

Lakini it will be interesting I believe for you to note that there were potentially three African Popes.Follow the following link to see.Unajua Wazungu wamefuta Historia yetu kabisa ili tuonekane kwamba sisi si kitu kabisa.Hata hivyo ukweli ni kwamba we are a superior race.

 
kuwa mpole jombaa. Taarifa inamaanisha sasa wapo wawili Tanzania.
 
Cardinal electors ni wawili yaan wanaoruhusiwa kumchagua papa au kuchaguliwa kwani wana umri chini ya miaka 80
 
Wa pili au watatu
Tanzania tumebahatika kupata makardinali watatu lakini waliopo ni hao wawili baada ya kardinali wa kwanza mwafrika kufariki lakini hao wawili waliobaki wanaruhusiwa kwenye conclave yaani wana hadhi ya kumchagua papa na wao kuchaguliwa kwasababu ya umri wao ni chini ya miaka 80 kadiri ya sheria za kanisa
 
Ukardinali haurithishwi na wala haumaanishi una hadhi ya kuwa majimbo makubwa tu hapana. Hicho ni cheo cha hadhi ya ushauri kwa baba mtakatifu na si sehemu ya madaraja ndani ya kanisa yaani ushemasi upadre na uaskofu
Asante kiongozi
 
Black Pope" is an unofficial designation given to the position of Superior General of the Order of the Jesuits. Sasa do you mean this Pope or Pope the head of the Catholic Demomination.Please specify.
Mchawi lugha
 
Alikuwapo Rugambwa sasa marehemu
 
Wanuba wanaroga sana
 
Kwahiyo atahamishiwa Dar kuziba nafasi ya Crd Pengo
ata mm najiuliza swali km ili huyu cardinal mpya atafanyaje kazi wkt sio yy Askofu wa jimbo maana kiutawala bado yupo chini ya Askofu mkuu. wakikutana maaskofu wakuu nayy ataingia kwenye icho kikao au?
 
ata mm najiuliza swali km ili huyu cardinal mpya atafanyaje kazi wkt sio yy Askofu wa jimbo maana kiutawala bado yupo chini ya Askofu mkuu. wakikutana maaskofu wakuu nayy ataingia kwenye icho kikao au?
Cardinal Rugambwa ataingia kwa vikao vyote vya Maaskofu,viwe vile vya kawaida vinavyojumisha Ma askofu wote au hata vya ma Arch Bishops.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…