Askofu Protase Rugambwa avishwa hadhi ya Ukardinali

Askofu Protase Rugambwa avishwa hadhi ya Ukardinali

Cardinal Rugambwa ataingia kwa vikao vyote vya Maaskofu,viwe vile vya kawaida vinavyojumisha Ma askofu wote au hata vya ma Arch Bishops.
kwa vikao vya maaskofu wa kawaida haina shida ataingia kwa sababu nayy pia ni Askofu mwandamizi.

ukakasi upo kwa vikao vya maaskofu wakuu hao umeita arch bishops. yy bado sio Askofu bishops. sasa akiingia atakuwa nan kwenye hicho kikao? ni mjumbe, mjumbe mwalikwa, mtazamaji, msikilizaji? na je km kuna maamuzi ya kufanyika inakuwaje nayy atahusika kufanya maamuz kwenye kikao cha maaskofu wakuu?
 
Back
Top Bottom