Wananchi tunaangusha hii nchi, kubaki kulalamika vitendo 0, ikifika muda wa kupiga haoooo tunaenda kupigia mifuko ya sukari na vitenge🤦♂️🤦♂️
====
Your browser is not able to display this video.
Ni kweli kama maaskofu wa tanzania tumetoa matamko mengi, na hilo siyo jambo ambalo tunalifanya kwa kukurupuka, ni jambo ambalo tunalitambua kama jukumu la kinabii la baraza letu.
Sasa kama yanafanyiwa kazi au lah ni shauri ya wale wanaohusika, ni jukumu lao kuwa wasikivu, kujipanga na kufanya mambo inavyopasa, wasipofanya hivyo raia wanayo haki na fursa ya kuwawajibisha
Askofu Rwaichi akijibu swali la mwandishi alilouliza juu ya matamko mengi wanayotoa na kama yanafanyiwa kazi na kuwa na faida yoyote
Wananchi tunaangusha hii nchi, kubaki kulalamika vitendo 0, ikifika muda wa kupiga haoooo tunaenda kupigia mifuko ya sukari na vitenge🤦♂️🤦♂️
==== Ni kweli kama maaskofu wa tanzania tumetoa matamko mengi, na hilo siyo jambo ambalo tunalifanya kwa kukurupuka, ni jambo ambalo tunalitambua kama jukumu la kinabii la baraza letu.
Endapo baraza letu litakaa kimya wakati tunapitia vipindi vigumu nchi yetu itaenda pabaya. Tunashukuru kwamba tunapotoa tamko, raia wa nchi hii hata ambao siyo wakatoliki wanashukuru na kuthamini.
Sasa kama yanafanyiwa kazi au lah ni shauri ya wale wanaohusika, ni jukumu lao kuwa wasikivu, kujipanga na kufanya mambo inavyopasa, wasipofanya hivyo raia wanayo haki na fursa ya kuwawajibisha
Askofu Rwaichi akijibu swali la mwandishi alilouliza juu ya matamko mengi wanayotoa na kama yanafanyiwa kazi na kuwa na faida yoyote
Ni kweli kama maaskofu wa tanzania tumetoa matamko mengi, na hilo siyo jambo ambalo tunalifanya kwa kukurupuka, ni jambo ambalo tunalitambua kama jukumu la kinabii la baraza letu.
Endapo baraza letu litakaa kimya wakati tunapitia vipindi vigumu nchi yetu itaenda pabaya. Tunashukuru kwamba tunapotoa tamko, raia wa nchi hii hata ambao siyo wakatoliki wanashukuru na kuthamini.
Sasa kama yanafanyiwa kazi au lah ni shauri ya wale wanaohusika, ni jukumu lao kuwa wasikivu, kujipanga na kufanya mambo inavyopasa, wasipofanya hivyo raia wanayo haki na fursa ya kuwawajibisha
Askofu Rwaichi akijibu swali la mwandishi alilouliza juu ya matamko mengi wanayotoa na kama yanafanyiwa kazi na kuwa na faida yoyote
Ni kweli kama maaskofu wa tanzania tumetoa matamko mengi, na hilo siyo jambo ambalo tunalifanya kwa kukurupuka, ni jambo ambalo tunalitambua kama jukumu la kinabii la baraza letu.
Endapo baraza letu litakaa kimya wakati tunapitia vipindi vigumu nchi yetu itaenda pabaya. Tunashukuru kwamba tunapotoa tamko, raia wa nchi hii hata ambao siyo wakatoliki wanashukuru na kuthamini.
Sasa kama yanafanyiwa kazi au lah ni shauri ya wale wanaohusika, ni jukumu lao kuwa wasikivu, kujipanga na kufanya mambo inavyopasa, wasipofanya hivyo raia wanayo haki na fursa ya kuwawajibisha
Askofu Rwaichi akijibu swali la mwandishi alilouliza juu ya matamko mengi wanayotoa na kama yanafanyiwa kazi na kuwa na faida yoyote
Hahaha"wananchi" vs "wenyenchi" nani zaidi.
CCM wanatambua hawana dhamana ya wananchi, uchaguzi huu walikuwa wana test kuona 2025 watatonoa ozone au la.
Wamesha gundua, hawapemdwi hivyo wanalazimika kutumia udanganyigu na nguvu kuendelea kuwepo madarakani, hawana namna.
Kuna watu wanashangaa Kanisa Katoliki kutoa matamko. Mimi naona ni muendelezo wa utamaduni wa kanisa hili kufanya hivyo.
Wakati wa utawala wa Mwinyi, nadhani kila wiki au mwezi walikuwa wanatoa tamko. Walifanya hivyo mara nyingi sana hata wakati wa kikwete kiasi cha kukaribia kuvunja rekodi ya guiness.
Hata kwa Lowasa, kanisa lilitoa matamko mengi kiasi kwamba walisahau hata kunukuu biblia kanisani.
Labda wanataka kujifichia huko lakini ndani ya mioyo yao wanawaza msalaba ukae pale juu pa nchi
Ni kweli kama maaskofu wa tanzania tumetoa matamko mengi, na hilo siyo jambo ambalo tunalifanya kwa kukurupuka, ni jambo ambalo tunalitambua kama jukumu la kinabii la baraza letu.
Endapo baraza letu litakaa kimya wakati tunapitia vipindi vigumu nchi yetu itaenda pabaya. Tunashukuru kwamba tunapotoa tamko, raia wa nchi hii hata ambao siyo wakatoliki wanashukuru na kuthamini.
Sasa kama yanafanyiwa kazi au lah ni shauri ya wale wanaohusika, ni jukumu lao kuwa wasikivu, kujipanga na kufanya mambo inavyopasa, wasipofanya hivyo raia wanayo haki na fursa ya kuwawajibisha
Askofu Rwaichi akijibu swali la mwandishi alilouliza juu ya matamko mengi wanayotoa na kama yanafanyiwa kazi na kuwa na faida yoyote
Kuna watu wanashangaa Kanisa Katoliki kutoa matamko. Mimi naona ni muendelezo wa utamaduni wa kanisa hili kufanya hivyo.
Wakati wa utawala wa Mwinyi, nadhani kila wiki au mwezi walikuwa wanatoa tamko. Walifanya hivyo mara nyingi sana hata wakati wa kikwete kiasi cha kukaribia kuvunja rekodi ya guiness.
Hata kwa Lowasa, kanisa lilitoa matamko mengi kiasi kwamba walisahau hata kunukuu biblia kanisani.
Labda wanataka kujifichia huko lakini ndani ya mioyo yao wanawaza msalaba ukae pale juu pa nchi
Hawakutoa kauli hata moja japo JPM aliua sana, na Mkapa akaua Mwembechai na akaua mashirika yote ya umma. Hata Lowassa Mlutheri, wakatoliki walimpinga kila mahali. Sasa wako na Lissu mkatoliki mwenzao
WEwe ni mgeni wa nchi hii. Tamko wakati wa Magufuli, nadhani lilikuwa kali kuliko yote, lilizungumzia kuoigwa risasi kwa Tundu Lisu, watu kutekwa, n.k. Ulikuwa ni waraka wa kwaresma.
WEwe ni mgeni wa nchi hii. Tamko wakati wa Magufuli, nadhani lilikuwa kali kuliko yote, lilizungumzia kuoigwa risasi kwa Tundu Lisu, watu kutekwa, n.k. Ulikuwa ni waraka wa kwaresma.