Askofu Severine Niwemugizi apata ajali maeneo ya Songambele wilayani Chato

Askofu Severine Niwemugizi apata ajali maeneo ya Songambele wilayani Chato

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Kuna taarifa mbaya kuwa Askofu Severine Niwemugizi wa Rulenge-Ngara amepata ajali ya gari maeneo ya Songambele, Chato

==

Hakuna vifo wala Majeruhi. Walikuwa wakitokea Bugando Mwanza kuelekea Ngara Kagera. Wana Msiba wa Padri aliyepoteza Maisha akiwa anatibiwa Hospitali ya Bugando, walikuwa wakielekea Ngara kuzika.

Niwemugizi.jpg

2.JPG
1.JPG
 
Back
Top Bottom