johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshafura!Sio kila jambo la kuleta upuuzi wako wa kiccm..
Hapo mtu kapata ajali upumba.v wako wa mgaya unataka kuleta kwenye maumivu ya mtu?
AminaMungu wa mbinguni amponye!
Alisikika akiongea kwa jazba mmiliki wa G-class ya ku-google.Toyota sio gari salama
Hakikajiwe aliwahi kumnyang'anya Passport yake na kuamuru uraia wake uchunguzwe , kilichotokea sasa ni kwamba Baba Askofu Niwemugizi ndiye aliongoza misa ya Mazishi ya Jiwe .
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
AminaNaona yupo na askofu Paul Ruzoka wa TABORA.
Mungu asante kwa kuwaokoa
Mkosoaji bingwa na mkubwa. Ametoka kuhojiwa uraia wake siyo muda mrefu, na pasi yake ya kusafiria inashikiliwa na uhamiaji. huyu aliingia kwenye mgogoro na Magu kwa kukosoa ubabe wake wa kutofuata utawala boraHaikosoi serikali huyu?
Nipeni jibu ndipo nichangie uzi.
Mimi nin namba ya msaidizi wake wa karibu.. enhee leta huja nyingine ya kipuuzUmeshafura!
Ngurumo hana uhakika unaambiwa tusubiri taarifa unajifanya wewe ndio inside moja na sifuri!
Aliikosoa hadi akanyang'anywa passport na kutakiwa athibitishe uraia wake enzi za yule dhalimHaikosoi serikali huyu?
Nipeni jibu ndipo nichangie uzi.
Hoja za kipuuzi kazitafute Ufipa mada hii inazungumzia afya ya baba askofu wa Kanisa kuu duniani!Mimi nin namba ya msaidizi wake wa karibu.. enhee leta huja nyingine ya kipuuz
Haikosoi serikali huyu?
Nipeni jibu ndipo nichangie uzi.
Juzi kuna shehe wa kenya kapata ajali naye katoka mzima,unamaanisha nini??!!Maaskofu huwa wanatoka wazima hata ajali iwe mbaya vipi.
Huyu jamaa sijui ni kwa nini ma-moderator wanamwacha anafanya upuuzi hapa JF. Siungi mkono censorship kwenye uandishi lakini anapotokea mtu mmoja ana-post upumbavu kila baada ya dakika tano ni bora awe anadhibitiwa. Huyu jamaa ni mtu wa mizaha kila thread.Sio kila jambo la kuleta upuuzi wako wa kiccm..
Hapo mtu kapata ajali upumba.v wako wa mgaya unataka kuleta kwenye maumivu ya mtu?
Anaboa sijui nikukosa shughuli au vp?Huyu jamaa sijui ni kwa nini ma-moderator wanamwacha anafanya upuuzi hapa JF. Siungi mkono censorship kwenye uandishi lakini anapotokea mtu mmoja ana-post upumbavu kila baada ya dakika tano ni bora awe anadhibitiwa. Huyu jamaa ni mtu wa mizaha kila thread.
Bado haijathibitishwa,lakini tetesi zinazonea ni kuwa amepata ajali.
Unamanisha nini kusema Toyota siyo Gari mkuu? kwani gari ni nini?Toyota sio gari salama