Anavunja katiba ya kanisa huko, katiba mpya wapi na wapi na mtu wa hivi
Mkuu, hivi unaufahamu vizuri mgogoro wa dayosisi ya Konde? Nina mashaka, maana hata jina la Askofu aliyeenguliwa hulijui.Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Kama tunavyoiona ya SSH sasa'iviHuyo bagonza ni suala la mda tuuu...!! Rangi yake halisi itaonekana
Basi yaeleze hayo mambo yake ya jeuri na kiburi ???!Mwaikali mshenzi tu askofu gani anataka kujiona yeye ni zaid ya taasisi inayo mlipa? Kajaa kiburi, jeuri , majivuno na kila aina ya uchafu.
Huenda mnao mtetea mwaikali hamumjui au mlikuwa na maslahi naye lakini hafai kuwa askofu yule ana mambo ya hovyo kabisa namfamu kwa sababu nimesha fanya naye kazi .
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
HawatafanikiwaAskofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Ni kweli kabisa, shoo na bagonza ni wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono freeman mbowe. Shoo kwa kiasi kikubwa ni ukabila na utabaka. Mabwanyenye wa kimachame wanatumia ukabila kujaribu kuwavuta wachagga wafikiri wanatengwa na kubaguliwa na ccm. Kitu hicho sabaya alifanikiwa kukipiga vita hadi hai wakagundua njama hizo kwa kuona jinsi mabwanyenye wa kimachame wanawanyonya na kuwadhulumu wanyonge.Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Nimeshawaambia kanisa ni moja tu takatifu katoliki la mitume. Hakuna ushenzi Kama huoAskofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Kuna mkopo wa bilioni moja kujenga chuo kikuu, inasemekana Bagonza na Shoo wamefanya mambo, dayosisi ya Konde inadaiwa riba bilioni nne, mchaga shoo kanusa pesa za Jimbo la kondeNi kweli kabisa, shoo na bagonza ni wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono freeman mbowe. Shoo kwa kiasi kikubwa ni ukabila na utabaka. Mabwanyenye wa kimachame wanatumia ukabila kujaribu kuwavuta wachagga wafikiri wanatengwa na kubaguliwa na ccm. Kitu hicho sabaya alifanikiwa kukipiga vita hadi hai wakagundua njama hizo kwa kuona jinsi mabwanyenye wa kimachame wanawanyonya na kuwadhulumu wanyonge.
Bagonza kwa hakika simuelewi sana ila naona ni kibaraka wa makabaila na mabepari uchwara na anatumiwa na nje.
Inasikitisha kuona kanisa la pili kwa ukubwa nchini kkkt linageuzwa kichaka cha wapinga maendeleo nchini.
WeweAskofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Ukitaka angalau kushawishi watu kwa uongo, basi tafuta ukweli kwanza halafu ubadilishe kulingana na matakwa yako.Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.
Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.
Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Unajua maana ya neno kanisa?Nimeshawaambia kanisa ni moja tu takatifu katoliki la mitume. Hakuna ushenzi Kama huo
Hakuna kanisa takatifu linaloonekana kwa macho.Nimeshawaambia kanisa ni moja tu takatifu katoliki la mitume. Hakuna ushenzi Kama huo.
Kwa hiyo wewe hautaki katiba mpya kwa kuwa Bagonza anaitaka au Wananchi tunaitaka? Huu ugomvi wenu usiushirikishe na hitaji la msingi la katiba mpya.Anavunja katiba ya kanisa huko, katiba mpya wapi na wapi na mtu wa hivi