Askofu Shoo na Bagonza waanza mkakati wa kuwaondoa maaskofu, wachungaji wasiojihusisha na siasa. Wavunja Katiba kumuondoa Dk. Mwakitali Jimbo la Konde

Askofu Shoo na Bagonza waanza mkakati wa kuwaondoa maaskofu, wachungaji wasiojihusisha na siasa. Wavunja Katiba kumuondoa Dk. Mwakitali Jimbo la Konde

Peleka hilo suala kwa waumini wenzako mlijadili, mkishindwana hameni Kanisa, makanisa yako mengi sana, pia mnaweza kuanzisha kanisa lenu, ni jambo rahisi sana hapa Tanzania.
Anavunja katiba ya kanisa huko, katiba mpya wapi na wapi na mtu wa hivi
 
Peleka hilo suala kwa waumini wenzako mlijadili, mkishindwana hameni Kanisa, makanisa yako mengi sana, pia mnaweza kuanzisha kanisa lenu, ni jambo rahisi sana hapa Tanzania.
Hatuhami kanisa, na tunajadili hapahapa
 
Hata Mtoto wako unawafundisha uongo kama huu?

Akija kufeli Form4 munaanza kusema walimu hawafundishi watoto kumbe ujinga unawapa wewe mzazi kwa uongo kama huu watoto wanakuamini.
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Mkuu, hivi unaufahamu vizuri mgogoro wa dayosisi ya Konde? Nina mashaka, maana hata jina la Askofu aliyeenguliwa hulijui.
 
Mwaikali mshenzi tu askofu gani anataka kujiona yeye ni zaid ya taasisi inayo mlipa? Kajaa kiburi, jeuri , majivuno na kila aina ya uchafu.

Huenda mnao mtetea mwaikali hamumjui au mlikuwa na maslahi naye lakini hafai kuwa askofu yule ana mambo ya hovyo kabisa namfamu kwa sababu nimesha fanya naye kazi .
Basi yaeleze hayo mambo yake ya jeuri na kiburi ???!
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.

AC2200DA-E70C-4570-872D-528FF501EC8A.jpeg
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Hawatafanikiwa
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Ni kweli kabisa, shoo na bagonza ni wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono freeman mbowe. Shoo kwa kiasi kikubwa ni ukabila na utabaka. Mabwanyenye wa kimachame wanatumia ukabila kujaribu kuwavuta wachagga wafikiri wanatengwa na kubaguliwa na ccm. Kitu hicho sabaya alifanikiwa kukipiga vita hadi hai wakagundua njama hizo kwa kuona jinsi mabwanyenye wa kimachame wanawanyonya na kuwadhulumu wanyonge.
Bagonza kwa hakika simuelewi sana ila naona ni kibaraka wa makabaila na mabepari uchwara na anatumiwa na nje.
Inasikitisha kuona kanisa la pili kwa ukubwa nchini kkkt linageuzwa kichaka cha wapinga maendeleo nchini.
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Nimeshawaambia kanisa ni moja tu takatifu katoliki la mitume. Hakuna ushenzi Kama huo
 
Ni kweli kabisa, shoo na bagonza ni wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono freeman mbowe. Shoo kwa kiasi kikubwa ni ukabila na utabaka. Mabwanyenye wa kimachame wanatumia ukabila kujaribu kuwavuta wachagga wafikiri wanatengwa na kubaguliwa na ccm. Kitu hicho sabaya alifanikiwa kukipiga vita hadi hai wakagundua njama hizo kwa kuona jinsi mabwanyenye wa kimachame wanawanyonya na kuwadhulumu wanyonge.
Bagonza kwa hakika simuelewi sana ila naona ni kibaraka wa makabaila na mabepari uchwara na anatumiwa na nje.
Inasikitisha kuona kanisa la pili kwa ukubwa nchini kkkt linageuzwa kichaka cha wapinga maendeleo nchini.
Kuna mkopo wa bilioni moja kujenga chuo kikuu, inasemekana Bagonza na Shoo wamefanya mambo, dayosisi ya Konde inadaiwa riba bilioni nne, mchaga shoo kanusa pesa za Jimbo la konde
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Wewe
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Ukitaka angalau kushawishi watu kwa uongo, basi tafuta ukweli kwanza halafu ubadilishe kulingana na matakwa yako.
KKKT, dayosisi ni eneo linaloongozwa na Askofu na Jimbo huwa linaongozwa na Mchungaji tu.
Jimbo Ni sehemu ya eneo dogo ndani ya dayosisi linaloundwa na sharika chache ndani ya dayosisi.
Kwa hiyo umesema uongo KKKT haina Askofu wa Jimbo.
 
Back
Top Bottom