Askofu Sylvester Gamanywa kutunukiwa u Profesa wa heshima na Chuo cha Mipango Dodoma

Makonda atawesamaje wenye vyeti feki?
Hata masta ya maza ni ya mazabe. Itafute uone ilivyo paper iliyoandikwa na watu zaidi ya mmoja.
Hayuko peke yake. Angalia andiko la master's ya mama yenu muamue in case lile nililobandika independently likauawa
 
Huyo ni muhaya msomi, haina shida hiyo, hata akipewa degree kumi, lakini hizi anazopewa mama yenu na zile PhD za biteko na jafo,ni upuuzi mtupu.
 
Hicho chuo cha Outreach Care International ni chuo cha mfukoni tu, hakipo popote kivile (physically), ni vyuo vya mtandaoni vya mchongo.
Hata hao wenyewe kwenye picha ukitazama midomo yao imekaa kimchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…