Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Sidhani kama watakubali.Askofu William Mwamalanga, Mwenyekiti wa Kamati ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili ya Dini Tanzania, amewataka viongozi wa dini waliopokea fedha kutoka kwa Rais kuzirejesha, akiwataka kuiga mfano wa viongozi wa kidini wa Kenya waliochukua hatua kama hiyo kwa maslahi ya maadili na uwazi.
Tuna viongozi wa dini wa hovyo sanaSidhani kama watakubali.
Ile ni rushwa kama rushwa zingine, inwonder why wamepokea while they knew wanaenda uza their core valuesKula pesa za seriklai ili uuze haki haina tofauti na Yuda Iskariote kuchukua hela za Warumi ili kumsaliti Yesu
awavaa Maaskofu waliopewa fedha na Rais Samia, "Rudisheni pesa kama walivyofanya Kenya"