boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Angebak mwenyew tuu,maana hapa tuliokua washabik wake ambao pia ni team mond tushaachefukwa.
Hizo team zinakusandia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angebak mwenyew tuu,maana hapa tuliokua washabik wake ambao pia ni team mond tushaachefukwa.
Mboso ni hatari sana yule mtu...nyie ngojeni aanze kufumua madude tu Aslay mwenyewe ataanza kuufyata! kwa ya moto band at least Mboso ndo unaweza kumpambanisha na Aslay,lakini sio beka flavor wala yule base boy!Hakuna shida maana ambao hawakuwa mashabiki wake na ni team Kiba watamuunga mkono rasmi..
Vita mpya mjin. Marombosso vs Aslay
Unajua kuna muda mwingine mtu anaweza akaandika post ukiisoma ukajua uwezo wa mtu kufikiri.Hakuna shida maana ambao hawakuwa mashabiki wake na ni team Kiba watamuunga mkono rasmi..
Vita mpya mjin. Marombosso vs Aslay
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 608237
Na huyu Dogo ndo alobeba daftar la nyimbo wakat wanamwagana Ya [emoji91]
Jaribu kufatilia nyendo za Aslay utabaini kuwa aliobdoka na daftar la nyimbo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanatoa maoni hawamkatishi tamaa hakuna msanii ambaye amewahi kuinuliwa au kubebwa na Ali Kiba rekodi hii siyo nzuri kwa msanii mkongwe kama yeyeKweli watanzania mu wajuaji wa kila kitu.
Kukatisha tamaa nyie, kuponda nyie, roho mbaya nyie, msiopenda maendeo ya watu wengine nyie
upande wa hovyo huyo mwenyewe anahitaji msaada
mdogo wake mpaka leo ni underground
Mambo vipi wadau?
Leo asubuhi wakati nawasha redio nikasikia wimbo mpya wa Aslay unapigwa Clouds. Baada ya wimbo kuisha nikasikia Fredwaa akisema kuwa Dogo amesajiliwa kwenye Lebo ya Alikiba pamoja na msanii mwingine anayeitwa Jokate.
Ni jambo zuri sana japo sijaelewa mustakabali wa wale wasanii anaowasimamia mwenyewe Aslay watakuwa chini ya nani ama atamuvu nao kwa Kiba?
-------------
More details (updated by mods)..
Alikiba afunguka kuhusu kumsaini Jokate kwenye lebo yake na Aslay kujiunga Rockstar 4000
ASLAY: Sitegemei kuwa chini ya WCB wala Rockstar, nataka kuwa Mkubwa zaidi yao
CREDITS: Bongo5 & PerfectoTv
ommy tangu kajiunga rock star kaachia ngoma ngapi? mnamuogopa king na mnapondaga kila kitu lakini anawakimbiza anavyotaka yy kunguni nyieNilimsikia Asley anasema hawezi jiunga Wasafi wala label yoyote Tanzania. Sababu anataka akomae mwenyewe awe Mkubwa zaidi ya Alikiba na Diamond.
Sasa kama amejiunga na Rockstar ndio basi tena. Ukiangalia Ommy Dimpoz hakuna alichofanya baada ya kujiunga Rockstar.
kama hajui kuimba afanyweje?Mhhh alikiba mwenyewe kashindwa kumbeba mdogo wake
puuumbav mtakufa kwa ujinga acha aende kwa kiba aw kwa mond kama anaweza anaweza tuAngebak mwenyew tuu,maana hapa tuliokua washabik wake ambao pia ni team mond tushaachefukwa.
aslay hajitaji kukuzwa kipaji anahitaji kutangazwa tu kaka kipaji kipo paleBora Angejiunga Na Tanzania One Theatre, Ally Kiba Hawezi Kwa Namna Yoyote Kukuza Kipaji Cha Asley