Aslay amewafunika wote waliotangulia kwenye homa

Aslay amewafunika wote waliotangulia kwenye homa

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Namuangalia hapa live ananikosha sana, huyu ndo amekuja kuperfom sasa.

Harmonize: Simlaumu sana kwavile ndio show ilikuwa inaruka kwa mara ya kwanza, alichokosea muda mwingi aliutumia kuimba nyimbo mbaya ilimradi apromote album yake badala ya kuimba nyimbo zinazoeleweka

Nandy: Muda mwingi aliutumia kuimba nyimbo za wenzake na kutafuta kiki na BillNyoso

Alikiba: Maneno meeengi, mbwembwe nyiiingi hakuna la maana, binafsi aliniboa. Ni kama alienda kwa ajili ya kumtambulisha msanii wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watz n vichwa ngumu hamuogop
Hata corona

stidy
 
Hichi kipindi kuna kituo mtaa wa pili wamekiiga watu kimya,sasa hapa ndio wangekiiga WASAFI pasinge tosha humu.

Ila Majizo ni very creative na industry ya Bongo anaijua.

True
 
Aslay kafanya fresh maana yupo vizuri kwa sauti na anaeza kuburudisha watu, hata mix za nyimbo zipo fresh

Nandy alifanya poa sana tofauti hata nilivyomfikiria. nahisu hukumuelewa maana alifanya nyimbo za kusikiliza zaidi..ofcoz she is NANDY

Kiba hata sikueza kuangalia muda mrefu. Ilikuwa boring na zile attitude zake. Plus ana sauti nzuri ila nguvu ya sauti kuimba muda mrefu HANA.

To sum up, Aslay is a better vocalist and peformer kuzidi wote
 
Back
Top Bottom