Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 801
- 764
- Thread starter
-
- #301
Mmmh hapa kuna kaukakasi kidogo mkuu Mara Nina mke home Mara mm ni ke mmhMy dear wimbo sijausikia lakini pia mimi usinifananishe na hao so called waoga blah blah, nina mke home na anajitambua hahahahaha.
Hahahaha i am tho.
KuntuuuuWords... eti kudhalilishwa mbona aliyeimba dume suruali hawajaandamana kua amewadhalilisha maana ukisikia mashairi ya FA hahaha.
haya na huyo aliyesema NAMPA PAPA tena wanakata na viuno kabisa hawajasema kawadhalilisha, aliyeimba WOWOWO mbona flat screen hawaja andamana kawadhalilisha.
lol, ifike muda sasa hii jinsi ya kike isijinyongeshe kama walemavu wakati ni binaadam kamili.
Kwa hiyo unao wale wa tayari kwaheri tu!Ningekuwa naishi nae hawez nuka boxer maana nitamfulia
Ukiiweka hapa itapendezaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Dogo aslay kaachia ngoma mpya inakwendwa kwa jina la kolo, ngoma ni kali kinoma aisee asikwambie mtu
Wakati huo huo beka naye kaachia ngoma mpya ambayo inaonekana kuwa kali kushinda hata ya aslay ni noma sana mazee madogo wanaendelea kutingisha game
LONDON BABY
Dogo anaimba kwa stress saivi,zikiisha hutomskia tena,ana maumivu ya kuachwaHabari za mchana wana Jf ,
Mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa Aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;[emoji116]
Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..
Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudisappoint 90% ya wanawake Tz.
Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
HahahaaaaPole sana mkuu
hao unaokutana nao ndio saizi yako!
Pambana
HahahaahaaKuna mwanaume uliwahi mwambia ananuka kwapa na boxer akawa mkali?
Agiza kinywaji ntalipiaUkicheki comments za aliyeleta Uzi anataka kujaribu kubalance motion iliyopo
Amekazania pumbu sijui boxer zinanuka hatukatai but you can't compare unukaji wa mwanamke na mwanaume ni quietly different.
Mwanamke asipofua pichu yake ndani ya siku moja walahi ni bora upite jalala la pugu utavumilia
Unukaji wa mbupu na boxer kwa wanaume ni kwa kiasi kidogo mno tena hapo arudie boxer hata siku 3 unaweza usisikie harufu kama tu anaoga..but wanawake kwa kweli mkubali tu hali halisi nature ya organ's zenu nazo ni sababu mojawapo namna maumbile yenu yalivyo yapo kwa ndani yanakosa hewa ya kutosha.
Ray 4 real ukweli ni kwamba huwezi compare smell anazotoa me na ke hapa najua unafurahisha jukwaa tu.
HahahaaaaaKweli leo umeamua kufurahisha jukwaa!
Kwa akili ya kawaida huwezi fananisha
Mnuko wa panpuchi na kikwapa!
Panpunchi achana nayo kabisa.
FactJambo la kushangaza sana mkuu!
Yaani wanaji undermine wao wenyewe kutokana na mambo wanayoyafanya halafu wanakuja na kasumba kuwa wanafanyiwa gender discrimination wakati wao hawataki kujirespects, nyimbo Kama Papa gigy money, sijui chura ni baadhi ya nyimbo zilizoimbwa na wanawake ukiangalia ndani yake zinawatoa utu kama wanawake..lakini ndio wanazipenda kupita maelezo,,
Kutaka 50/50 inatakiwa wawe na self Respect's kwanza.
Habari za mchana wana Jf ,
Mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa Aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;[emoji116]
Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..
Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudisappoint 90% ya wanawake Tz.
Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Kwa hili povu nna mashaka huu wimbo umekulenga kwa asilimia zoteNyie mnamshauri ujinga huyo dogo mbona nyie mnanuka makwapa kama chemba za choo, miboxer hamfui, mipmb inatoa harufu kama vyoo vya solo lkn watu wanawavumilia