Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Najua hajanitaja mm na kati ya sifa alozitaja zote zimenipita kushoto ila tu sijapendezwa vile kumdhalilisha huyo mwanamke maana ni mwanamke kama mm ila tukisema ktk mahusiano yote watu waanze kuambiana mapungufu tutakimbiana
Nikwambie kitu muhimu mkuu ili upate kuishi kwa amani bila kukereka.. binadamu wote si sawa, kuna majehu,wendawzimu, timamu na kila kitu, yawezekana busara kwako kwake ni ujinga n vice versa..

Kwangu naona kakosea pia sababu akili yangu inapinga kitu kama hicho naona si sawa.. ila kwa kuwa katenda yeye naona sawa sababu ndio akili yake ilipogotea..
So calm down ndugu yangu.
 
Na pia ndo akili ya wachangiaji walio wengi.. Real gentlemen like you ni wachache sana .. Hongera mkuu
 
HV mkuu unaamini kila akichokiimba aslay ni ukweli hakuna mwanamke anaweza kuwa na sifa mbaya zote hizo ndo maana mm nimesema ni udhalilishaji .et kuna watu wananuka makwapa kama wanaume jamani tena unamkuta mwanaume mzur kapendez akuhug sasa hicho kikwapa c cha nchi hii tena vitandani ndo kabisa wengine ni ziro
 
Jitahidi kulegeza kiuno na kufua fua kama alivyoshauri badala ya kukimbia ukweli!
 
Na nyie jaribu kufua boxer zenu zinanuka na makwapa pia muyasugue yanatema
Kwani hiyo beti nayo imo ama umeamua kuiongeza...by then hujui hata beberu anayenukia ni mkomavu kwa shughuli kuliko hutu tudogo tudogo? Just Imagine hata nanihii alivyokuwa anawaongoza wana wa Israel Jangwani kama alipata muda wa kufua boxer...
 
Kwani hiyo beti nayo imo ama umeamua kuiongeza...by then hujui hata beberu anayenukia ni mkomavu kwa shughuli kuliko hutu tudogo tudogo? Just Imagine hata nanihii alivyokuwa anawaongoza wana wa Israel Jangwani kama alipata muda wa kufua boxer...
Kwahiyo umekubali kwamba mnatema kama beberu?? Hiyo ni moja ya kero kubwa sana vikwapa kunuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…