Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Katupa jiwe kwenye giza, watu wameanza kelele, angetupa mkate (maneno mazuri) wangefurahia ,

Watu wanaogopa kuambiwa ukweli, bila kujua kwamba, kupitia ukweli huo ndio wanaweza kujirekebisha ,

Kama sisi tunavyo imbiwa kwamba tunavibamia, ambaye anajijua anacho basi anajiongesha kwenda kuchanjia mkisha,
 
Kubali mapungufu na anza kuoga na kufua chupi then funga kanga kiunoni ufanye mazoezi ya kuzungusha mauno hayo yoote yataisha tyu,na utafurahia maisha kuliko kupanic nyuma ya keyboard...
Mbona unakwepa hilo la kwako la kunuka pmb hahaaa yaani nyie mkuambiwa ukweli mnakataa ila wanawake ndo wakubali huo upuuzi
 
Ray4 ur so cute Like your comment take five
Asante mkuu.Natambua thamani yangu kama mwanamke ndo maana sijapendezwa na huu wimbo lkn sio kwamba natetea mwanamke mwenye tabia hizo hapana ila kumtangaza mwanamke mambo ya siri kama hivo ni udhalilishaji ila suala la usafi wa mwili na mazingira kwa ujumla utabaki pale pale kwa sote wanaume na wanawake
 
Sisi tukiwaambia humu huwa mnakuja juu sana,sasa nanyi imbeni mshindane na aslay.Kama mna kashfa zote hizo tusiseme?Wanawake ndio chanzo cha uwongo duniani,wanapenda kudanganywa,ukimkuta ananuka useme ananukia ndio mtaelewana.Ukitaka kugombana na wadada waambie ukweli hawatakupenda katu.Wadanganye sasa utagegeda hadi uchoke.pumbavu zenu
 
Katupa jiwe kwenye giza, watu wameanza kelele, angetupa mkate (maneno mazuri) wangefurahia ,

Watu wanaogopa kuambiwa ukweli, bila kujua kwamba, kupitia ukweli huo ndio wanaweza kujirekebisha ,

Kama sisi tunavyo imbiwa kwamba tunavibamia, ambaye anajijua anacho basi anajiongesha kwenda kuchanjia mkisha,
Mkuu hakuna cha jiwe gizani na naamini wenye tabia hizi wapo wamekaa kimya Kwa kuogopa wataonekana wao ndo walengwa ila mm hata sijali hilo lengo langu ni kupinga udhalilishaji wa kijinsia hayo maneno ni makali sana kuyaimba hasa kwa msanii kioo cha Jamii japokuwa wapo wenye hizo tabia
 
Wanawake mnapenda kusifiwa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kweli mwalimu wenu kipofu
Kuna mambo ambayo ni ya kuongea chumbani ukishaweka hadhalani umemdhalilisha mlengwa au unafikiri ukimwambia mwanaume hujui Kazi kitandani watu wakasikia si umemdhalilisha
 
Mkuu hakuna cha jiwe gizani na naamini wenye tabia hizi wapo wamekaa kimya Kwa kuogopa wataonekana wao ndo walengwa ila mm hata sijali hilo lengo langu ni kupinga udhalilishaji wa kijinsia hayo maneno ni makali sana kuyaimba hasa kwa msanii kioo cha Jamii japokuwa wapo wenye hizo tabia
Kwa hiyo tunyamaze?
 
Sisi tukiwaambia humu huwa mnakuja juu sana,sasa nayi imbeni mshindane na aslay.Kama mna kashfa zote hizo tusiseme?Wanawake ndio chanzo cha uwongo duniani,wanapenda kudanganywa,ukimkuta ananuka useme ananukia ndio mtaelewana.Ukitaka kugombana na wadada waambie ukweli hawatakupenda katu.Wadanganye sasa utagegeda hadi uchoke.pumbavu zenu
HV ww ulishawahi kumwambia huyo mwanamke ulokutana nae kwamba ananuka zaidi ya kuja kulalamika Jf?? Nyie ndo hamjielewi sasa unakaaje na mwanamke wa vile muda huo wote bila kumwambia unasubiri muachane ndo umwambie . hahaaa mm mnanifurahishaga sometimes
 
Back
Top Bottom