Comment yako yakibabe sana mkuu πππ, umeona utaje kwamba una usafiri kiujanja
The same applied to meWote wako poa..ila namsikiliza zaidi marioo
Heshima gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]?umekosa kazi tafta bright umlinganishe na huyo marioo aslay ana heshima zake
FactHao wote ni majeruhi. Walitamba wakapotea bado vijana wabichi kabisa.
Fact na watapotea tuwasahau mazimaTatizo lao nyimbo zao karibia zote Ni kulalamika tu.
Ila kazima mazima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"We kidawa kwa nini unautesa moyo kidawa......?" hii nyimbo hatari,Mario mzuri ila bado hajafikia level za Aslay.
Sizani kama kuna msanii alishawahi kutoa hiti zaidi ya 14 ndani ya mwaka mmoja zaidi ya Aslay.
Wote wakali ila Aslay mkali zaidi
Marioo mbona Ngoma za ku'bang anazo shazi2!?..Wauwe,Tikisa,Chibonge,Anyinya,,,zote hizo ni za Club mbonaAslay yuko juu sana ila hawa majamaa washawahi kweli wimbo wa amshaamsha kama za club ?hii style yao kila wimbo wanalia inakera
ahhh mariooo mkaliNi wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii.
Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani.
Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao.
Kutokana na ubora wa nyimbo zao zinajisogeza zenyewe.
Ni wasanii nawakubali sana. Pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana.
Aslay_nibebe,kwatu, nichombeze
Mario_inatosha,Raha, chibonge
Unamkubali Nani zaidi??!!
View attachment 1554388View attachment 1554389