Aslay na Mario nawakubali sana, pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana

Aslay na Mario nawakubali sana, pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana

Comment yako yakibabe sana mkuu 😂😂😂, umeona utaje kwamba una usafiri kiujanja


Kwa sisi tuliozaliwa Mtoni, Mtongani mpaka ukiwa na usafiri wako, maana yake you made it bro. We fikiria, umetoka kwenye yale maisha kula mayai anasa mpaka unapigwa na kiyoyozi kwenye ndinga. We fikiria tumewapoteza masela wetu wangapi kwa cocaine na gongo mpaka tunafika hapa.
 
Hizo ngoma za Aslay ulizoweka zote sizifahamu, nilishaachaga kumsikiliza tangu enzi zile anatoa yale masong ya kufananafanana.
 
Aslay Yupo na Uwezo Wa Juu kuliko Mario.


Wote pia Wanaangukia katika oradha ndefu ya Wasanii Wanao- lilia/Tia huzuni/Huruma-Huruma,Huku Mario akifika mbali kwa ubanaji pua.

-Tunda Man.
-Spack.
-PNC
-Hussein Machozi.
-Ferouz.
-Vumilia.
-Jaymelody.
-Lavalava
.................
 
"We kidawa kwa nini unautesa moyo kidawa......?" hii nyimbo hatari,Mario mzuri ila bado hajafikia level za Aslay.

Sizani kama kuna msanii alishawahi kutoa hiti zaidi ya 14 ndani ya mwaka mmoja zaidi ya Aslay.
Ila kazima mazima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii.

Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani.

Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao.

Kutokana na ubora wa nyimbo zao zinajisogeza zenyewe.

Ni wasanii nawakubali sana. Pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana.

Aslay_nibebe,kwatu, nichombeze
Mario_inatosha,Raha, chibonge

Unamkubali Nani zaidi??!!

View attachment 1554388View attachment 1554389
ahhh mariooo mkali
 
Back
Top Bottom