Njaa mbaya sana.Kwa upande mwingine, Twaha amesema msimamo wao utabaki pale pale wa kuwafikisha Mahakamani wasanii hao endapo watashindwa kutimiza masharti waliyopewa na uongozi wa kikundi hicho.
Ahsante sana rafiki na kwako pia.Asubuhi njema rafiki
aslay si ndo wanambusti siku hz na mwenzake nandi sasa naona wakatamani wafanye nyimbo afu aidia ziro haya ndo matokeoMie huwa najiwazia kwani ni lazima kurudia wimbo wa mtu ambao ulishaimbwa sababu mwisho wa siku ndio hizi seke seke zinatokea.
Yetu macho na masikio wacha tuone mwisho ni nini.
kumbe walipokea!! njaa hiziSasa mbona Walizipokeaa????? Matahiraa sana haoo.. Baada ya kuona wimbo umekuwa Hit song wanaanza ubashitee waoo
Na wewe tunakufikisha mahakamani kwa kupost ujingaNaumwa niombeeni
Hawa wasanii tuliwaambia msijiingize kwenye siasa wakatung'ong'a sisi mashabiki zao, sasa wameona nyimbo zao hazina soko, wanaamua kucopy nyimbo za zamani wakizani watatushawishi kumbe wanaingia matatani.
kwa mamlaka gani ya jamii forum tuliomlog$ sio mafala hivyo amrudie muumbaPokea Uponyaji - Ugonjwa Tokaaaa!!!
Inategemea uimara wa wanasheria wao....
Mkuu ni wewe au naota, yaani Culture waliopiga wimbo huo miaka ya 70/80 kuwa walisimamiwa na Ruge?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Asijali boss ruge yupo atawalipia kila kitu mahakamani,unaambiwa ruge ni genius sana huwa hashinfwi kwanza hata wao enzi zao itakua walisimamiwa na ruge.
Mkuu ni wewe au naota, yaani Culture waliopiga wimbo huo miaka ya 70/80 kuwa walisimamiwa na Ruge?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Inategemea unaweza ukatunga na kuimba lakin upo chin ya kikundi,kikundi ndio kitakua na haki miliki but inategemea na makubaliano.Tatizo kibongo bongo tunafanya kazi kwa mazoea sanaMkuu naomba nisaidie kujua hati miliki unavo kuwa . Je kigezo cha utunzi na nikaimba mm mwenyewe nyimbo haitoshi kunipa hati miliki?
kua mpole ndugu.... wakiamua kwenda mahakamani watashinda kesi cs iyo hela hawakuwapa kundi kama kundi walwapa baadhi ya wanakikundi rejea katiba yao ya kundiWaliwalipaa kabisaa hao wenye huo.wimboo ilaa wale jamaa wamewageuka saa hizi tamaa tu
Intellectual property huwa hai expireMuziki wa mwaka 1973 unataka fidia wakati ulikuwa umesha expiry