ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,152 Reaction score 33,899 Feb 23, 2018 #21 Nimesikiliza hizo nyimbo,dogo mwizi wa mchana kweupe
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,152 Reaction score 33,899 Feb 23, 2018 #22 bologna said: fundisho ilikua wimbo usipigwe popote pale. Watu waliumiza vichwa kipindi hiko leo vijana wanaleta mambo ya kitonga. Click to expand... Vijana wanapenda kweli ganda la ndizi.
bologna said: fundisho ilikua wimbo usipigwe popote pale. Watu waliumiza vichwa kipindi hiko leo vijana wanaleta mambo ya kitonga. Click to expand... Vijana wanapenda kweli ganda la ndizi.
James Comey JF-Expert Member Joined May 14, 2017 Posts 8,759 Reaction score 14,831 Feb 23, 2018 #23 Kwa nini clouds wanaruhusu wasanii wanaowasimamia kurudia nyimbo za watu bila ruhusa za wamiliki. Kuna wale wasanii wao wachanga wanapiga nyimbo za watu kama wanavyo jisikia kwenda chooni. Mpaka za dini yaani inakera sana...
Kwa nini clouds wanaruhusu wasanii wanaowasimamia kurudia nyimbo za watu bila ruhusa za wamiliki. Kuna wale wasanii wao wachanga wanapiga nyimbo za watu kama wanavyo jisikia kwenda chooni. Mpaka za dini yaani inakera sana...