Diamond anaanza kufanya show fiesta alikua ana ngoma ya kamwambie tu.Ukiangalia show ya komaa concert Beka alitumia muda mwingi kuimba nyimbo za wasanii wengine, hayo ndo madhara ya kutokuwa na nyimbo nyingi. Mwenzake Aslay ni bandika bandua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo alikuwa nazo sawa ila zinasound kitotototo, sahivi hainogi kuwaimbia watu nyimbo hizo, huyu ni Aslay mwingine sio yule dogo AslayWacha waseme - Aslay & Abamto
Mugogo - Aslay
Kasema mama - Aslay
Nakusemea - Aslay
Utachezaje - Aslay
Maneno - Aslay & Ali Nipishe
Bado mdogo - Aslay & Lina
Niwe nawe - Aslay
Wananitesa - Aslay
Siwezi - Aslay
Kengele - Aslay
Kikombe cha babu - Aslay
Umbea - Aslay
Hazitoshi kufanya show hizi? Hapo sijaweka za mwaka huu mwanzoni.
sasa kwanini aimbe za mwaka 47 wakati ana uwezo wa kutoa vitu vipya tena vzr zaidi na vinavyoendana na wakati wa soko la muziki uliopo?Wacha waseme - Aslay & Abamto
Mugogo - Aslay
Kasema mama - Aslay
Nakusemea - Aslay
Utachezaje - Aslay
Maneno - Aslay & Ali Nipishe
Bado mdogo - Aslay & Lina
Niwe nawe - Aslay
Wananitesa - Aslay
Siwezi - Aslay
Kengele - Aslay
Kikombe cha babu - Aslay
Umbea - Aslay
Hazitoshi kufanya show hizi? Hapo sijaweka za mwaka huu mwanzoni.
unataka kusema Cassper Nyovest ana uhaba wa nyimbo nae au ww ndo ujui nyimbo zke zingineDiamond anaanza kufanya show fiesta alikua ana ngoma ya kamwambie tu.
Kwenye show alicheza hadi wimbo wa Michael Jackson Thriller, na yeye siyo wa kwanza.
Casper Nyovest alikua anafanya live show huku anachombezea Shebeleza, naamini Beka ana nyimbo ambazo hatujawahi kuzisikia angechombezea hizo hizo.
Ni kwakua pengine hana organizer mzuri.
Soma vizuri mzazi, point yangu ni kua alikua anachombezea wimbo ambao watu walikua hawajawahi kuusikia.unataka kusema Cassper Nyovest ana uhaba wa nyimbo nae au ww ndo ujui nyimbo zke zingine
G.O.M.D
katoa nyimbo 14 na zote zimependwa,mashabiki tunataka tena tuuu,haijawahi kutokea ktk mziki wa ulimwenguni ukimtoa michael jackson ns 50 cents,hawa ndo walikuwa na uwezo wa kuachia hata ngoma 3 kwa siku moja na zote zikawa hitUnaota.
Diamond anakwambia alitoa 'Kesho' akiwa amelenga soko na ni kati ya ngoma ambazo hazipendi kwa kua haipo katika mahadhi yake.
Unamsifia Aslay jamaa ambaye najua kua ataanza kwa sauti ya chini huku biti ikiwa na vyombo vichache na vitachanganya kidogo kidogo huko mbele, cheki Muhudumu, cheki Angekuona, cheki Rudi, Cheki Tete, cheki Likizo, cheki Baby, cheki Koko, cheki Danga, cheki Danga remix zote muundo ni ule ule.
Asipobadilika anapotea, tangu nijue muziki sijawahi sikia msanii anatoa ngoma mfululizo zaidi ya nne kwa mara moja yeye katoa zaidi ya 14.
King mtoto wa Kariakoo kupotea kwake msubiri sana mpaka wajukuu wenuAslay na Beka ndio wanaokwenda kumzika rasmi Mhenga Ali.
Mkuu haujui au haufuatilii muziki.katoa nyimbo 14 na zote zimependwa,mashabiki tunataka tena tuuu,haijawahi kutokea ktk mziki wa ulimwenguni ukimtoa michael jackson ns 50 cents,hawa ndo walikuwa na uwezo wa kuachia hata ngoma 3 kwa siku moja na zote zikawa hit
katoa nyimbo 14 na zote zimependwa,mashabiki tunataka tena tuuu,haijawahi kutokea ktk mziki wa ulimwenguni ukimtoa michael jackson ns 50 cents,hawa ndo walikuwa na uwezo wa kuachia hata ngoma 3 kwa siku moja na zote zikawa hit
Bwege tu kaishiwa,,,,ujanja ukizidi sana huwa ushamba!!!King mtoto wa Kariakoo kupotea kwake msubiri sana mpaka wajukuu wenu