Aslay x Alikiba

Aslay x Alikiba

Ngoma ipo #1 trending nyie kunyenikunyeni tu hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-09-06-10-26-58.png
    Screenshot_2019-09-06-10-26-58.png
    113.5 KB · Views: 18
Wabongo nuksi sana,wao kila kitu wanabeza tu.
Hao jamaa huwa wanakesha kutaka kumla domo U Mungu mtu wa hii industry that's kila anachofanya kiba lazima waponde ionekane hajielew au hawezi bt watu tunaelewa na tu najua zipi pumba na upi mchele na wanamuogopa kiba to the maximum na ndo maana they decided to attack him in every step... Bt nikujifariji tuu ...yaan Leo ghafla tu uje utuaminishe kiba hajui kuimba wakati unamskiza tangu huchagui pa kunya had now una mtoto ulompata kwa kuanza ngono Mapema stupid.
 
Hahaaa watu wanaponda kweli nyimbo. Ila wengi wanaoponda nyimb hii ni wale mashabiki wa msanii na sio mashabiki wa mziki. Mara nyingi kwenye simu yangu huwa nyimbo nikiipenda naidownload ndo maana mpaka leo na nyimbo nyingi za kiba pamoja na diamond, nyimbo hii ni nzuri sana ukiwa mshabiki wa mziki mzuri ila ukiwa shabiki wa msanii fulani tu hutaweza kuona uzuri wa nyimbo yyte kutoka kwa msanii usiempenda. Na msanii unaempenda hata siku akiimba nyimbo isiyonzuri hutaweza kukosoa zaidi kusifia. Em tutoe chuki kwa wasanii wetu ili tuone utamu wa vle wanavoviimba. Ila kwa nyimbo hii Aslay kaimba vizuri sana kuliko Ally kwa maoni yangu. Ingekuwa vzuri kdgo nahisi angekaa nandy kwenye versi ya Kiba nyimbo ingekuwa bomba zaid. Ila wamejitahidi
 
Hao jamaa huwa wanakesha kutaka kumla domo U Mungu mtu wa hii industry that's kila anachofanya kiba lazima waponde ionekane hajielew au hawezi bt watu tunaelewa na tu najua zipi pumba na upi mchele na wanamuogopa kiba to the maximum na ndo maana they decided to attack him in every step... Bt nikujifariji tuu ...yaan Leo ghafla tu uje utuaminishe kiba hajui kuimba wakati unamskiza tangu huchagui pa kunya had now una mtoto ulompata kwa kuanza ngono Mapema stupid.
Usitulazimshe tuamini utakacho narudia tena kiba 100 nimzee akalee familia ndo mda wake OK.
 
nyie ndo mnataka tuamini bongofleva ni ya domo and we SAID NO hajui kuimba ni mtukanaji
Sasa umelazimishwa mimi nimesema alikiba ni mzee miaka 40+ ko life span ya kusimama jukwaani in ndogo ko ni bora akalee familia asije baadae akaokota makopo mkaanza kusema eti amelogwa DIAMOND FOR PRESIDENT 2020.
 
Back
Top Bottom