asomee nn kati ya hz biomedical,civil,mining,electr ical eng/lab&science technology

Mr.panya

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
248
Reaction score
278
nimshauri ipi kati ya hz huyu dogo kapata div 1 anataka kuapply baada ya kuusikilizia mziki wa advance alipokuwa akisoma pre form 5 pcm,mi nimemshauri aendelee atazoea hlf sa iv diploma wapo wengi sana yan watakuja kusumbuliwa baadae kwnye mkopo lkn kakataa hataki tena advance,sasa wakuu ipi ni facaulty bomba kati ya hzo in terms of everything na akaapply chuo gan
 
Means haendi form five kwa sababu tu kaona masomo magumu mmh
huko diploma ndo mepesi?
mpe pole....
 
civil engineering ...!but co fuculty ni programe course aende D.I.T akimaliza aje ardhi university or coet (udsm )

over.
 
civil engineering ...!but co fuculty ni programe course aende D.I.T akimaliza aje ardhi university or coet (udsm )

over.
kumbe inawezekana hiyo kutoka dit kwenda UDSM
 
Mwambie siku nyingine asiiwaze Mining engineering, nina mdogo wangu kamaliza chuo(udsm) mwaka jana na GPA ya 4.2 lakini mpaka muda huu kazi hakuna kaamua kufundisha shule ya private, Kuna machaguo ambayo kamwe hayatamuangusha (civil, mechanical na electrical)
 
please wote naona hamjui BIOMEDICAL ENGINEERING, NI KOZI MPYA KWA TANZANIA NA WANAHITAJIKA KARIBU KILA HOSPITAL
 

Electronics vip
 
Biomedical ndo uhakika na wanapata pesa nzuri kuliko hzo program nyngine
 
mkuu huyo ni mdogo wako au ni wewe unazuga hapa???? hapo kwenye red, watu wengi wamekua wakipotea kwa hofu na siamini kama kaweza kufaulu kwa juhudi zake ashindwe kusoma advance!! swali ni je,ye alitaka urahisi gani? anasema ngumu mbona sisi tumetokea huko huko au anasemea ugumu gani?? kama kweli unamjali mdogo wako kaa mshauri, na umwambie asipende kusikia maneno ya watu na afocus kwenye future yake!!! swali je, anadhani diploma ni rahisi?? je akimaliza diploma mziki wa kwenda degree atauweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…