Tatizo mtu anaandika kwa kusoma comments za mtu badala ya kusoma mada husika. Wanaiharibu JF.Inasikitisha sana mtu hujaskiliza story nzima unakuja unaandika nonsense that's why JF ya sasa inashuka sana thamani yake Great thinkers wanapungua kwa kasi
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app