CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Hio hapoZinaliwaje hizo? Vipi kuhusu soko na bei yake?
Eti za matajiri? Tuthibitishie mkuuArusha tunakula sana ziko sana sokoni
Napataje mbegu zake?Eti za matajiri? Tuthibitishie mkuu
Ngoja tuangalie kambasegela mwakaleli paleNapataje mbegu zake?
Nafikiri leo ndiyo mara yangu ya kwanza kuziona! Bei yake ikoje mkuu?Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.
Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.
Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;
Mary Washington
Jersey Giant F1
Jersey King F1
Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.
View attachment 2837346View attachment 2837353
Nilitafuta mbegu sijapata una connection ya mbegu zakeAsparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.
Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.
Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;
Mary Washington
Jersey Giant F1
Jersey King F1
Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.
View attachment 2837346View attachment 2837353
UlipataNgoja tuangalie kambasegela mwakaleli pale
Nini baba?Ul
Ulipata
unaweza pata miche,Nilitafuta mbegu sijapata una connection ya mbegu zake