Asparagus, hizi ni mboga za matajiri pekee

Asparagus, hizi ni mboga za matajiri pekee

Kuna padre mmoja niliona anazipiga hatari na kazipanda,
 
Huo ufungaji ni wa supermarket gani Mkuu? Au umetega ndoano unasubiri wajilete wenyewe?.

Anyway njoo soko kuu Arusha hapa utazikuta zimezagaa zakutosha. Na mboga mboga nyingine unazoziona kwenye Tv pale utazikuta zakutosha.
 
Screenshot_2024-04-13-17-20-33-24_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg

Kuna ndude zingine hizi wazungu wanayatafuna kinoms ila bongo naona zimeshindwa kupasua
 
Back
Top Bottom