Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Fashisti Jiwe hana chake tena!! Sizani kama atatokea mtu mshenzi na katili wa aina yake.Rejea maoni yale ambayo of course bado hayajetekelezwa uone nilikuwa karibu na nani kama si wanyonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fashisti Jiwe hana chake tena!! Sizani kama atatokea mtu mshenzi na katili wa aina yake.Rejea maoni yale ambayo of course bado hayajetekelezwa uone nilikuwa karibu na nani kama si wanyonge.
Subiri kwanza tumwongezee Mama maika 40 atake asitake, tukishafanikisha hilo tutawasadia nyie wajasiriamali mkope ndegeTupo wajasiliamali tunaosubiri fursa hiyo ya kukopa ndege
Assad 5:CCM 0Natumia theory ya Assad kwamba duniani kote ndege hazinunuliwi kwa cash bali mkopo.
Kwa theory hii ni vyema basi tuwakutanishe wajasiliamali wadogo jijini Dar wakope ndege hata 20 hivi za kuanzia.
Pathetic man at his level,MATAGA you don't believe yet, Kama jiwe kawaacha, mwizi mkubwa yule mwache aende zakeNatumia theory ya Assad kwamba duniani kote ndege hazinunuliwi kwa cash bali mkopo.
Kwa theory hii ni vyema basi tuwakutanishe wajasiliamali wadogo jijini Dar wakope ndege hata 20 hivi za kuanzia.
Natumia theory ya Assad kwamba duniani kote ndege hazinunuliwi kwa cash bali mkopo.
Kwa theory hii ni vyema basi tuwakutanishe wajasiliamali wadogo jijini Dar wakope ndege hata 20 hivi za kuanzia.