Assad alipolikoroga tuyakumbuke ya Lwaitama

Assad alipolikoroga tuyakumbuke ya Lwaitama

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wote hao manguli kweli kweli. Kama kula muwa hao kuwakabili yataka kuvuta fundo:



"Waswahili walisema wapambanapo mafahali ziumiazo, nyasi."

Sote tu binadamu kufanya makosa hapa na pale isiwe muhani wandugu.

Tusikwazike na watu tukwazike na neno lao.

"Kosa moja lisifukuzishe mke."

7 x 70 tusichoke kusameheana maisha yakaendelea.

"Kwenye siasa tusiwe na marafiki au madui wa kudumu bali agenda."

Tukumbuke katika ukombozi, mtaji ni watu.
 
Ni jambo jema

Hii ngoma ni ya kisheria zaidi kwani yuko wapi huyu ndugu?

IMG_20210806_053407_437.jpg
 
Uhuru wa kutoa maoni umeingiliwa, siku hizi imekuwa ngumu sana kukubali maoni ya mwingine bila kumtazama imani yake..

Hili la DPW limekuja kufichua yale waliyoficha toka awamu ya nne, wakaacha kutumia defence ya udini kwasababu aliyekuwa madarakani hakuwa mwenzao katika imani, sasa amekuja mwenzao, wamezikumbuka zile zama zao.

Kwa ufupi, huu mtazamo wa udini waliuanzisha wao, sasa ile mbegu waliyoilea miaka yote, ndio imechipua, bahati nzuri au mbaya kwao, wakati huu hawaogopwi kujibiwa, wanajibiwa kwa njia ile ile wanayokuja nayo, muhimu haki ya mtanganyika, na rasilimali zake, lazima zilindwe kwa namna yoyote.
 
Wote hao manguli kweli kweli. Kama kula muwa hao kuwakabili yataka kuvuta fundo:

View attachment 2713187

"Waswahili walisema wapambanapo mafahali ziumiazo, nyasi."

Sote tu binadamu kufanya makosa hapa na pale isiwe muhani wandugu.

Tusikwazike na watu tukwazike na neno lao.

"Kosa moja lisifukuzishe mke."

7 x 70 tusichoke kusameheana maisha yakaendelea.

"Kwenye siasa tusiwe na marafiki au madui wa kudumu bali agenda."

Tukumbuke katika ukombozi, mtaji ni watu.
Kwani ameomba radhi?
 
Uhuru wa kutoa maoni umeingiliwa, siku hizi imekuwa ngumu sana kukubali maoni ya mwingine bila kumtazama imani yake..

Hili la DPW limekuja kufichua yale waliyoficha toka awamu ya nne, wakaacha kutumia defence ya udini kwasababu aliyekuwa madarakani hakuwa mwenzao katika imani, sasa amekuja mwenzao, wamezikumbuka zile zama zao.

Kwa ufupi, huu mtazamo wa udini walianzisha wao, sasa ile mbegu waliyoilea miaka yote, ndio imechipua, bahati nzuri au mbaya kwao, wakati huu hawaogopwi kujibiwa, wanajibiwa kwa njia ile ile wanayokuja nayo, muhimu haki ya mtanganyika, na rasilimali zake, lazima zilindwe kwa namna yoyote.
Kwani Watanganyika ni Dini gani?!
 
Uhuru wa kutoa maoni umeingiliwa, siku hizi imekuwa ngumu sana kukubali maoni ya mwingine bila kumtazama imani yake..

Hili la DPW limekuja kufichua yale waliyoficha toka awamu ya nne, wakaacha kutumia defence ya udini kwasababu aliyekuwa madarakani hakuwa mwenzao katika imani, sasa amekuja mwenzao, wamezikumbuka zile zama zao.

Kwa ufupi, huu mtazamo wa udini walianzisha wao, sasa ile mbegu waliyoilea miaka yote, ndio imechipua, bahati nzuri au mbaya kwao, wakati huu hawaogopwi kujibiwa, wanajibiwa kwa njia ile ile wanayokuja nayo, muhimu haki ya mtanganyika, na rasilimali zake, lazima zilindwe kwa namna yoyote.
Very good
 
Kwani Watanganyika ni Dini gani?!
Mchanganyiko, wapo wenye dini za kuletewa, na wale wenye dini zao za asili.

Hapa kwa wakristu huwa hakuna tatizo, akija mtawala mkristu akafanya ujinga huwa tunamlaani bila kupepesa, na hao wanafiki wa upande wa pili huungana nasi kwenye kumlaani, tukidhani wako nasi pamoja kukemea maovu kumbe huwa tunajidanganya...

Akija kiongozi wa upande wao, hapo ndipo maigizo yao huanza, hawataki akosolewe hata kama akifanya makosa ya wazi, mfano mkataba mbovu wa bandari, kila mmoja mwenye jicho neutral anauona ulivyo na terms za hovyo, lakini wao wanajitoa akili makusudi kuanza kutetea ujinga wakidhani tutanyamaza, wanakosea.

Wajiulize jambo kama wana akili timamu, kwanini defence ya udini huja wakati wa awamu yao, nao huruhusu kuipa nafasi, wala isije wakati wa awamu ya kiongozi asiye wa imani yao? wakipata jibu la hili swali, ndio watajiona wanavyotumika kirahisi, kwa kujua au kutokujua.
 
Mchanganyiko, wapo wenye dini za kuletewa, na wale wenye dini zao za asili.

Hapa kwa wakristu huwa hakuna tatizo, akija mtawala mkristu akafanya ujinga huwa tunamlaani bila kupepesa, na hao wanafiki wa upande wa pili huungana nasi kwenye kumlaani, tukidhani wako nasi pamoja kukemea maovu kumbe huwa tunajidanganya...

Akija kiongozi wa upande wao, hapo ndipo maigizo yao huanza, hawataki akosolewe hata kama akifanya makosa ya wazi, mfano mkataba mbovu wa bandari, kila mmoja mwenye jicho neutral anauona ulivyo na terms za hovyo, lakini wao wanajitoa akili makusudi kuanza kutetea ujinga wakidhani tutanyamaza, wanakosea.

Wajiulize jambo kama wana akili timamu, kwanini defence ya udini huja wakati wa awamu yao, nao huruhusu kuipa nafasi, wala isije wakati wa awamu ya kiongozi asiye wa imani yao? wakipata jibu la hili swali, ndio watajiona wanavyotumika kirahisi, kwa kujua au kutokujua.
Kwani Nyerere Uhuru alipewa na nani?
 
Tuwe wakweli tuu, mzee Assad alipoanza kutumika kwenye mihadhara ya dini ( tena siasa kali) uwezo wake wa reasoning ulianza kupotea na kushika mwenendo mpya kuwa haki sio kwa wote bali haki kwa ndugu katika imani.
Huko kwenye hizi suruali fupi ni hatari sana katika kuelezea misimamo, usikute Assad yeye kwake mwarabu ni bora sana kuliko Mkwere Mtanzania lakini mkristo.
Ukweli usemwe.
 
Hatarii sana aisee hatimae nimeamini HAKUNA ASIENUNILIKAA...!! Yani mpaka huyu jamaa kujidai sio mpenda helaa sijui anavumbua madudu ya Magu kumbe naee ni Njaaa kaliii... Huu mkataba hakuna namna unaweza sema una uhalali kabisaa yani Main contract inasema hakuna Ukomoo wa mkatabaaa na wala kuvunja mkatabaa.. then Prof anasema kuna makubaliano madogo madogo ndani yake ya utendaji yana Ukomoo.??? Ogopa sana Rushwaa ndo maana nchi kama China au mataifa makubwa Rushwa ndio adui yao mkubwa.
Nadhani tatizo Magufuli alikuwa Mkristoo pia.
 
Njooni tulime huku mashambani mnapiga kelele kuhusu bandari wakati hamjawaji kuingiza nchni hata kiwembe hamjui adha za bandari
 
Njooni tulime huku mashambani mnapiga kelele kuhusu bandari wakati hamjawaji kuingiza nchni hata kiwembe hamjui adha za bandari
Mzee wako siku aliyokumwaga bora angevaa ndomu walahii...[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom