Assad alipolikoroga tuyakumbuke ya Lwaitama

Assad alipolikoroga tuyakumbuke ya Lwaitama

Tuwe wakweli tuu, mzee Assad alipoanza kutumika kwenye mihadhara ya dini ( tena siasa kali) uwezo wake wa reasoning ulianza kupotea na kushika mwenendo mpya kuwa haki sio kwa wote bali haki kwa ndugu katika imani.
Huko kwenye hizi suruali fupi ni hatari sana katika kuelezea misimamo, usikute Assad yeye kwake mwarabu ni bora sana kuliko Mkwere Mtanzania lakini mkristo.
Ukweli usemwe.
Kumbe huyo mzee alishawahi kutumika kwenye hiyo mihadhara ya kidini? basi wanaohusisha imani kujibu kile alichozungumza wako sahihi.
 
Hatarii sana aisee hatimae nimeamini HAKUNA ASIENUNILIKAA...!! Yani mpaka huyu jamaa kujidai sio mpenda helaa sijui anavumbua madudu ya Magu kumbe naee ni Njaaa kaliii... Huu mkataba hakuna namna unaweza sema una uhalali kabisaa yani Main contract inasema hakuna Ukomoo wa mkatabaaa na wala kuvunja mkatabaa.. then Prof anasema kuna makubaliano madogo madogo ndani yake ya utendaji yana Ukomoo.??? Ogopa sana Rushwaa ndo maana nchi kama China au mataifa makubwa Rushwa ndio adui yao mkubwa.
Nadhani tatizo Magufuli alikuwa Mkristoo pia.
ndio alimpinga kwasababu ni mkristo hakuna jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru wa kutoa maoni umeingiliwa, siku hizi imekuwa ngumu sana kukubali maoni ya mwingine bila kumtazama imani yake..

Hili la DPW limekuja kufichua yale waliyoficha toka awamu ya nne, wakaacha kutumia defence ya udini kwasababu aliyekuwa madarakani hakuwa mwenzao katika imani, sasa amekuja mwenzao, wamezikumbuka zile zama zao.

Kwa ufupi, huu mtazamo wa udini waliuanzisha wao, sasa ile mbegu waliyoilea miaka yote, ndio imechipua, bahati nzuri au mbaya kwao, wakati huu hawaogopwi kujibiwa, wanajibiwa kwa njia ile ile wanayokuja nayo, muhimu haki ya mtanganyika, na rasilimali zake, lazima zilindwe kwa namna yoyote.
Mahakama iliyotoa hukumu huko Mbeya ipo Tanganyika huku huku tulipo. Hizo haki za Tanganyika ni zipi?.

Na naiona hoja ya utanganyika ikienda kupotea kwa miaka mingi mpaka atakapokuja rais mwingine kutoka Unguja au Pemba.
 
ndio alimpinga kwasababu ni mkristo hakuna jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasahau kuwa Prof Assad aliondolewa na JPM kutoka katika cheo chake cha CAG na watu wakapiga kelele wakisema katiba imekiukwa, kwa sababu aliamua kuutetea weledi kazini.

Namuona Profesa akiwa anasimamia elimu na maarifa kwenye utendaji kuliko kuwa sehemu ya magenge ya wanaopenda kujikomba kwa wenye vyeo.
 
Tunasahau kuwa Prof Assad aliondolewa na JPM kutoka katika cheo chake cha CAG na watu wakapiga kelele wakisema katiba imekiukwa, kwa sababu aliamua kuutetea weledi kazini.

Namuona Profesa akiwa anasimamia elimu na maarifa kwenye utendaji kuliko kuwa sehemu ya magenge ya wanaopenda kujikomba kwa wenye vyeo.

Mkataba na DP world ni hoja ya kisheria. Prof Assad awe na nini cha kisheria zaidi ya akina Shivji, Nshala, Slaa, LIssu na wa namna hiyo?

Zingatia wengine hapo ni Havard Laureates.

Labda tumwombe ndugu Paskali mwanasheria nguli atupe mwongozo.

Paskali Kwa heshima na taadhima tafadhali.
 
Mkataba na DP world ni hoja ya kisheria. Prof Assad awe na nini cha kisheria zaidi ya akina Shivji, Nshala, Slaa, LIssu na wa namna hiyo?

Zingatia wengine hapo ni Havard Laureates.

Labda tumwombe ndugu Paskali mwanasheria nguli atupe mwongozo.

Paskali Kwa heshima na taadhima tafadhali.
Kumbuka kuwa CAG ana uelewa mpana sana wa uchumi haswa uwekezaji ambao unafanyika pale TPA.

Kapiga ikulu ndio sababu ya chuki yote anayokutana nayo mitandaoni.
 
Kumbuka kuwa CAG ana uelewa mpana sana wa uchumi haswa uwekezaji ambao unafanyika pale TPA.

Kapiga ikulu ndio sababu ya chuki yote anayokutana nayo mitandaoni.

Suala la DP world ni suala la kisheria. Kulikoni kutowatambua Havard Laureates kwenye maeneo yao ya kujidai?

Hujiulizi huyu mwamba kutokomea kusikojulikana?

IMG_20210806_053407_437.jpg


Kwamba Lipumba, Ndakichako, Mkenda, Janabi au wa aina ya Maji Marefu (rip) kujitosa kwenye ya taaluma za wengine si ni kutaka kutuchosha bure tu?

Ya uchumi Assad tutamsikiliza, siyo ya afya ya moyo.

U professor siyo wa kila kitu mjomba.
 
Mkataba na DP world ni hoja ya kisheria. Prof Assad awe na nini cha kisheria zaidi ya akina Shivji, Nshala, Slaa, LIssu na wa namna hiyo?

Zingatia wengine hapo ni Havard Laureates.

Labda tumwombe ndugu Paskali mwanasheria nguli atupe mwongozo.

Paskali Kwa heshima na taadhima tafadhali.
Mkuu brazaj, naomba kuanza na a point of correction, mimi sio mwanasheria nguli, ni mwanahabari nguli.

Issue ya IGA ya DPW na Bandari zetu ina pande 4,
1. Kiuhalisia
2. Kisheria
3. Kisiasa
4. Kiuchumi,
hivyo mtu yoyote yuko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote hata kama sio mtu wa fani husika, ndio maana tumeshuhudia, Prof. Shivji akitoa maoni yake ya kisheria, yakabezwa na shehe ubwabwa!.

Alichokisema Prof Assad ni ukweli, tuna tatizo kubwa la uelewa toka kule juu mpaka chini. Tuna wanasheria na viongozi wazuri toka juu mpaka chini, ila pia na wanasheria na viongozi vilaza wa ajabu toka juu mpaka chini!, vilaza hawa wametamalaki ndani ya serikali yetu, Bunge letu, hadi kwenye Mahakama zetu!.

Issue ya IGA ilihitaji tuu elimu kwa umma, wananchi kuelimishwa IGA ni nini na HGA ni nini, ila pia Watanzania ni Watu wa ajabu. Wanapigiaje kelele jambo dogo la Bandari, lakini Mambo Muhimu ya Msingi kama Katiba na Uhuru wao wapo Kimya?
P.
 
Wote hao manguli kweli kweli. Kama kula muwa hao kuwakabili yataka kuvuta fundo:

View attachment 2713187

"Waswahili walisema wapambanapo mafahali ziumiazo, nyasi."

Sote tu binadamu kufanya makosa hapa na pale isiwe muhani wandugu.

Tusikwazike na watu tukwazike na neno lao.

"Kosa moja lisifukuzishe mke."

7 x 70 tusichoke kusameheana maisha yakaendelea.

"Kwenye siasa tusiwe na marafiki au madui wa kudumu bali agenda."

Tukumbuke katika ukombozi, mtaji ni watu.
Hii mada yako hii inatatiza sana.
Uozo mwingi ndani ya siasa unaoonekana sasa hivi kote nchini unasimamia kwenye dhana hii potofu kabisa.

Hata hivyo, kuna ninachokubaliana nacho kwenye mada yako. Laiti kama ungejikita huku kwenye "Kukubaliana kwenye agenda za kudumu", mada yako ingeeleweka vizuri sana.
 
Mkuu brazaj, naomba kuanza na a point of correction, mimi sio mwanasheria nguli, ni mwanahabari nguli.

Issue ya IGA ya DPW na Bandari zetu ina pande 4,
1. Kiuhalisia
2. Kisheria
3. Kisiasa
4. Kiuchumi,
hivyo mtu yoyote yuko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote hata kama sio mtu wa fani husika, ndio maana tumeshuhudia, Prof. Shivji akitoa maoni yake ya kisheria, yakabezwa na shehe ubwabwa!.

Alichokisema Prof Assad ni ukweli, tuna tatizo kubwa la uelewa toka kule juu mpaka chini. Tuna wanasheria na viongozi wazuri toka juu mpaka chini, ila pia na wanasheria na viongozi vilaza wa ajabu toka juu mpaka chini!, vilaza hawa wametamalaki ndani ya serikali yetu, Bunge letu, hadi kwenye Mahakama zetu!.

Issue ya IGA ilihitaji tuu elimu kwa umma, wananchi kuelimishwa IGA ni nini na HGA ni nini, ila pia Watanzania ni Watu wa ajabu. Wanapigiaje kelele jambo dogo la Bandari, lakini Mambo Muhimu ya Msingi kama Katiba na Uhuru wao wapo Kimya?
P.

Kwamba ni kwa maneno yako kuwa wewe si nguli wa sheria bali habari? Huo ni uthubitisho kuwa tujikite kuhabarishana ya kina Mayele Mayele kwenye ngao za hisani uwanjani mkwakwani huko.

Ya magonjwa ya moyo tuwaachie kina Janabi. Sheria kina Shivji, Assad uchumi, Ndalichako Elimu, Maji marefu miti shamba, Mwandosya Umeme, Mruma Madini, Einstein nuclear, Dr. Msukuma matango pori:

IMG_20211211_082805_567.jpg


Tuheshimu taaluma za watu.

Nakazia suala la DP World kinachogomba ni mambo ya kisheria. Kama huko hatuna weledi - tuufyate zaidi sana ni kujiroga kwa mayala ya matumbo yetu tu!
 
Hii mada yako hii inatatiza sana.
Uozo mwingi ndani ya siasa unaoonekana sasa hivi kote nchini unasimamia kwenye dhana hii potofu kabisa.

Hata hivyo, kuna ninachokubaliana nacho kwenye mada yako. Laiti kama ungejikita huku kwenye "Kukubaliana kwenye agenda za kudumu", mada yako ingeeleweka vizuri sana.

Kutatizika na mada ya mtu ni jambo la kawaida wala hakuna geni hapo. Kimsingi ieleweke niliandika kuwatatiza wasio mwelewa Prof. Lwaitama.

Usitatizike vipi ndugu kama humwelewi Prof. Nguli huyu wa mambo ya siasa?

Zingitia mada nzima Ina sentensi 9. Kila moja ikiwa imekamilika kwa maana yake kamili.

Wasikwazike vipi mamburula wenye kutaka tuandike wanayotaka wao kuyasikia?

Ukitaka kusikia ya kupendeza masikioni mwako si uambatane na kina Simba huko?

"Ama kwa hakika 'Iyena Iyena' ikakutatize vipi?"
 
Back
Top Bottom