Kumbe huyo mzee alishawahi kutumika kwenye hiyo mihadhara ya kidini? basi wanaohusisha imani kujibu kile alichozungumza wako sahihi.Tuwe wakweli tuu, mzee Assad alipoanza kutumika kwenye mihadhara ya dini ( tena siasa kali) uwezo wake wa reasoning ulianza kupotea na kushika mwenendo mpya kuwa haki sio kwa wote bali haki kwa ndugu katika imani.
Huko kwenye hizi suruali fupi ni hatari sana katika kuelezea misimamo, usikute Assad yeye kwake mwarabu ni bora sana kuliko Mkwere Mtanzania lakini mkristo.
Ukweli usemwe.
Angemwagia njeMzee wako siku aliyokumwaga bora angevaa ndomu walahii...[emoji35][emoji35][emoji35]
Hakuna Rafiki wala Adui wa Kudumu...Huyu Asad ni msomi ila udini unamsumbua sana.Prof. Assad tulihuzunika naye wakati alipotumbuliwa na jiwe kwa uonevu. Lkn hv sasa katugeuka.
Kwani ameomba radhi?
basi sawaHata asipoomba msamaha chujio la hoja au pumba si tunalo sisi ndugu?
ndio alimpinga kwasababu ni mkristo hakuna jingine.Hatarii sana aisee hatimae nimeamini HAKUNA ASIENUNILIKAA...!! Yani mpaka huyu jamaa kujidai sio mpenda helaa sijui anavumbua madudu ya Magu kumbe naee ni Njaaa kaliii... Huu mkataba hakuna namna unaweza sema una uhalali kabisaa yani Main contract inasema hakuna Ukomoo wa mkatabaaa na wala kuvunja mkatabaa.. then Prof anasema kuna makubaliano madogo madogo ndani yake ya utendaji yana Ukomoo.??? Ogopa sana Rushwaa ndo maana nchi kama China au mataifa makubwa Rushwa ndio adui yao mkubwa.
Nadhani tatizo Magufuli alikuwa Mkristoo pia.
Mahakama iliyotoa hukumu huko Mbeya ipo Tanganyika huku huku tulipo. Hizo haki za Tanganyika ni zipi?.Uhuru wa kutoa maoni umeingiliwa, siku hizi imekuwa ngumu sana kukubali maoni ya mwingine bila kumtazama imani yake..
Hili la DPW limekuja kufichua yale waliyoficha toka awamu ya nne, wakaacha kutumia defence ya udini kwasababu aliyekuwa madarakani hakuwa mwenzao katika imani, sasa amekuja mwenzao, wamezikumbuka zile zama zao.
Kwa ufupi, huu mtazamo wa udini waliuanzisha wao, sasa ile mbegu waliyoilea miaka yote, ndio imechipua, bahati nzuri au mbaya kwao, wakati huu hawaogopwi kujibiwa, wanajibiwa kwa njia ile ile wanayokuja nayo, muhimu haki ya mtanganyika, na rasilimali zake, lazima zilindwe kwa namna yoyote.
Tunasahau kuwa Prof Assad aliondolewa na JPM kutoka katika cheo chake cha CAG na watu wakapiga kelele wakisema katiba imekiukwa, kwa sababu aliamua kuutetea weledi kazini.
Tunasahau kuwa Prof Assad aliondolewa na JPM kutoka katika cheo chake cha CAG na watu wakapiga kelele wakisema katiba imekiukwa, kwa sababu aliamua kuutetea weledi kazini.
Namuona Profesa akiwa anasimamia elimu na maarifa kwenye utendaji kuliko kuwa sehemu ya magenge ya wanaopenda kujikomba kwa wenye vyeo.
Kumbuka kuwa CAG ana uelewa mpana sana wa uchumi haswa uwekezaji ambao unafanyika pale TPA.
Kumbuka kuwa CAG ana uelewa mpana sana wa uchumi haswa uwekezaji ambao unafanyika pale TPA.
Kapiga ikulu ndio sababu ya chuki yote anayokutana nayo mitandaoni.
Mkuu brazaj, naomba kuanza na a point of correction, mimi sio mwanasheria nguli, ni mwanahabari nguli.
Hii mada yako hii inatatiza sana.Wote hao manguli kweli kweli. Kama kula muwa hao kuwakabili yataka kuvuta fundo:
View attachment 2713187
"Waswahili walisema wapambanapo mafahali ziumiazo, nyasi."
Sote tu binadamu kufanya makosa hapa na pale isiwe muhani wandugu.
Tusikwazike na watu tukwazike na neno lao.
"Kosa moja lisifukuzishe mke."
7 x 70 tusichoke kusameheana maisha yakaendelea.
"Kwenye siasa tusiwe na marafiki au madui wa kudumu bali agenda."
Tukumbuke katika ukombozi, mtaji ni watu.
Mkuu brazaj, naomba kuanza na a point of correction, mimi sio mwanasheria nguli, ni mwanahabari nguli.
Issue ya IGA ya DPW na Bandari zetu ina pande 4,
1. Kiuhalisia
2. Kisheria
3. Kisiasa
4. Kiuchumi,
hivyo mtu yoyote yuko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote hata kama sio mtu wa fani husika, ndio maana tumeshuhudia, Prof. Shivji akitoa maoni yake ya kisheria, yakabezwa na shehe ubwabwa!.
Alichokisema Prof Assad ni ukweli, tuna tatizo kubwa la uelewa toka kule juu mpaka chini. Tuna wanasheria na viongozi wazuri toka juu mpaka chini, ila pia na wanasheria na viongozi vilaza wa ajabu toka juu mpaka chini!, vilaza hawa wametamalaki ndani ya serikali yetu, Bunge letu, hadi kwenye Mahakama zetu!.
Issue ya IGA ilihitaji tuu elimu kwa umma, wananchi kuelimishwa IGA ni nini na HGA ni nini, ila pia Watanzania ni Watu wa ajabu. Wanapigiaje kelele jambo dogo la Bandari, lakini Mambo Muhimu ya Msingi kama Katiba na Uhuru wao wapo Kimya?
P.
Hii mada yako hii inatatiza sana.
Uozo mwingi ndani ya siasa unaoonekana sasa hivi kote nchini unasimamia kwenye dhana hii potofu kabisa.
Hata hivyo, kuna ninachokubaliana nacho kwenye mada yako. Laiti kama ungejikita huku kwenye "Kukubaliana kwenye agenda za kudumu", mada yako ingeeleweka vizuri sana.