Chu China
Member
- Mar 9, 2023
- 9
- 8
Nawa salimu kwa jina la M/Mungu.
Niko na wazo la muda mrefu, nataka nianze Biashara ya uunganishaji (Assembly Business) kwa Bidhaa mbalimbali.
Changamoto yangu Ni:
1. Nitumie njia gani ili niweze kuagiza parts (vipuli) za Bidhaa hizo ninazo taka kuanza kuzifanyia assembly.. Sababu parts zote hazipatikani nchini Kwetu Ila nitatakiwa kuagiza kwenye nchi kama China & India.
2. Sijawahi fanya Biashara ya Bidhaa hizo kabla, hivo Sina uzoefu zaidi ya utafiti nilio na ninao Endelea kuufanya. Sasa je ni bora niende moja kwa moja kwende assembly au nianze kwanza kuuza finished goods zilizopo ili nipate uzoefu wa mauzo kivitendo?
3. Nianze kutafuta order (wanunuzi) kwanza.. nimelenga wale wauzaji wa Maduka ya Jumla, Maduka ya Reja reja, makampuni husika na taasisi au niingize Machine na Vipuli kwanza then nitapokuwa nmeanza uzalishaji ndio nitafute soko? (Japo kwa ujumla naona Bidhaa ninazo taka kuanza kuzizalisha mwenyewe hapa nchini Kupitia kuagiza vipuli vyake nje.. Naona fursa ya soko ipo).
NB: Future yangu nataka sana nije nimiliki factory ya Kufanya Manufacturing & Assembly ya products mbalimbali.
Karibu kwa mawazo.
Niko na wazo la muda mrefu, nataka nianze Biashara ya uunganishaji (Assembly Business) kwa Bidhaa mbalimbali.
Changamoto yangu Ni:
1. Nitumie njia gani ili niweze kuagiza parts (vipuli) za Bidhaa hizo ninazo taka kuanza kuzifanyia assembly.. Sababu parts zote hazipatikani nchini Kwetu Ila nitatakiwa kuagiza kwenye nchi kama China & India.
2. Sijawahi fanya Biashara ya Bidhaa hizo kabla, hivo Sina uzoefu zaidi ya utafiti nilio na ninao Endelea kuufanya. Sasa je ni bora niende moja kwa moja kwende assembly au nianze kwanza kuuza finished goods zilizopo ili nipate uzoefu wa mauzo kivitendo?
3. Nianze kutafuta order (wanunuzi) kwanza.. nimelenga wale wauzaji wa Maduka ya Jumla, Maduka ya Reja reja, makampuni husika na taasisi au niingize Machine na Vipuli kwanza then nitapokuwa nmeanza uzalishaji ndio nitafute soko? (Japo kwa ujumla naona Bidhaa ninazo taka kuanza kuzizalisha mwenyewe hapa nchini Kupitia kuagiza vipuli vyake nje.. Naona fursa ya soko ipo).
NB: Future yangu nataka sana nije nimiliki factory ya Kufanya Manufacturing & Assembly ya products mbalimbali.
Karibu kwa mawazo.