Inatokea...imetokea kwa mwenzangu, kuna wanawake wanapenda kuubana uume wakiwa (wanawake) wanakaribia kukojoa, hiyo inaweza kusababisha akabaki na kondomu ukeni...bahati mimi nliweza kumtoa mwenyewe lakini ni vizuri sana kumuona Dr. hali hiyo inapokuwa inatokea hasa kama huyo mwanamke ana njia ndogo sababu itabidi wamtoe kwa vifaa maalumu kama vile wanavyotumia kutoa mimba otherwise utajikuta unazidi tu kuisuma ndani...ambapo unaweza ukahitaji operation kuitoa!Wahi clinic ya karibu ikatolewe...
Lakini hii huwa inatokea kiukweli??
kwa hiyo mkuu ulimkaukia mpenzi wako haukumwambia kilicho tokea?Mimi ilishawahi nitokea nikiwa kwa GAME...sikugundua mwanzoni...at the end nashituka nkakuta ngoma iko dry....nkaanza kuisaka baada ya GAME...sikuikuta kabisa; My ♥ wangu akaondoka,kufika home akaenda 0ga...then akahisi haja ndogo....kukojoa akakuta CONDOM ..INATOKA..
Akanipigia simu nikaamua kuapologize; sometymes game huwa inakuwa kali so hata kugundua ni ngumu...
ushauri ajaribu kwenda haja ndogo...then aivute
Mimi ilishawahi nitokea nikiwa kwa GAME...sikugundua mwanzoni...at the end nashituka nkakuta ngoma iko dry....nkaanza kuisaka baada ya GAME...sikuikuta kabisa; My ♥ wangu akaondoka,kufika home akaenda 0ga...then akahisi haja ndogo....kukojoa akakuta CONDOM ..INATOKA..
Akanipigia simu nikaamua kuapologize; sometymes game huwa inakuwa kali so hata kugundua ni ngumu...
ushauri ajaribu kwenda haja ndogo...then aivute