nakushukulu kwa kunijuza mkuu maana nilikuwa napata shida mimi ni mmoja wa waathirika wa elimu yetu ya kbongo ya dezine ya kata sasa katika kuparanganya nilisoma chuo kimoja katika level ya diploma kule us nimefanya vizuri wamenishawishi kusoma associate degree ulivyorekebisha jina uko sawa kabisa kupitia kwako sasa naanza rasmi kusoma hiyo degree je itanitoa mkuu? (mlango wa gunia,narubongo,c programing)