Assume ndio siku yako ya harusi unakutana na vyombo kama hivi....

Assume ndio siku yako ya harusi unakutana na vyombo kama hivi....

K ni ile ile ila zinatofautiana kwenye unenenene,zile nene kile kijamaa kiwe juu juu,zinahamasisha zaidi kila mara kuliko zile zenye kile kijamaa kiwe ndani hakionekani,alisikika mvuta bangi mmoja mitaa ya sinza kijiweni

Yeah, huyo mvuta bangi yupo sahihi. Built-in antenna hazina mshawasha kama external antennas [emoji39]
 
Inahitaji moyo na ndo maana sitaoa kwasababu ya uzuri wa mwanake ,nitajitahid niwe bize nae bi harusi nisitizame maua mengine maana naweza nikajikuta namfinyia jicho watu wakaona nikaaibika
 
Hawana kitu hao tupo nao huku wana maji mengi mno guest zote za rwanda burundi zimewekewa nailon wazuri kwa muinekano tu ukiwa nao kwa bed hamna kitu kabsa kwa EAC madem zetu wanajua sana
 
Back
Top Bottom