Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kwamba nyingine ni stigla joji na nyingine ni nyumba ya mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thuuuubutu!!!!Hata kama ni ileile ila mautamu ni tofauti.....wacha ujinga yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba nyingine ni stigla joji na nyingine ni nyumba ya mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thuuuubutu!!!!Hata kama ni ileile ila mautamu ni tofauti.....wacha ujinga yako.
Nimekuwa promoted tu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio kaoa juzi tu hapa[emoji23]
Zamani alikua mwenzetu
Nitumie namba yake pmNakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
K ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
Bucha tu ndo tofauti, Ila nyama ni ile ile tu.K ni ile ile ila zinatofautiana ladha...aliskika bodaboda mmoja kijiweni
Huyo Ni Baharia..Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
Si unajua pale unakutana na watu mbalimbali mkuu na kama mtu uko sokoni kwanini usijikwatuehalaf wadada wanavyojuaga kujikwatua siku ya harus sijui wanatakaga kuwafukina ma bi harusi 😁😁😁
Atasanuka sa ngapi ye anavokuwa amependa anamwamini mwanaume 101% ajui km anaweza akala adi mama ake mzaziHahahaa..!
dada wa watu halafu ni ndugu yetu wala hakusanuka maskiini..!!
Yaan unaweza jiuliza naolewa nikafanye nn na akati hali enyewe ndo hiiHahahaaa hii ni tamaa ya hali ya juu... Maskin bi harusi, hope hakuliona hilo maana ugomvi utaanza hapo
Imewezekanaje Hamna mbaya????.Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
Tena siku ya harusi!! Shame on himYaan unaweza jiuliza naolewa nikafanye nn na akati hali enyewe ndo hii
Kashaolewa na ana familia mkuu..Nitumie namba yake pm
Aiseee...Aaah wapi....zinatofautiana saana.
K ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku