Kwa mfano yaani "ukishadeal" na mmojammoja na kweli ukafanikiwa unakuwa umepata hasa??
Unakuwa unapatikana, sio umepata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mfano yaani "ukishadeal" na mmojammoja na kweli ukafanikiwa unakuwa umepata hasa??
Na ka pilipili kwa mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikosa ubunifu wa kuzichakata utapata tabu sana..kama ladha sio nzuri ongeza ndimu
we ni fala sana hahahahahhaahahaK ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
K ni zilezile tu. Kukosa ubunifu wa wote wawili ndio sawa kula ugali kwa parachichiAaah wapi....zinatofautiana saana.
K ni ile ile ila zinatofautiana ladha...aliskika bodaboda mmoja kijiweni
Yeah, huyo mvuta bangi yupo sahihi. Built-in antenna hazina mshawasha kama external antennas [emoji39]
Tamaa tu huwezi kuwamaliza wanawake wazuri sana utakufa kwa ukimwi huku ukiwa maskini wa kutupwa.
Nimeona vyombo vi3 tu.
Kama nilivyo ona mimi vile. Viwili viko mbele mmoja yuko nyuma,ila huko nyuma kuna mwingine kama nataka nimuweke awe wa nne,ila mzani unakataa.
Nami hivyo hivyo tena walivyokaa wanatengeneza umbo namba 3, mmoja juu katikati waeili chini
Hilo limepita bila shaka yoyote.Mmepatia kabisa vyombo vipo vi3 tu basi.
Tako lipoo!!??Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we ni fala sana hahahahahhaahaha
Kwamba K ya Dar ni tofauti na ya Mwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
Mmepatia kabisa vyombo vipo vi3 tu basi.
Hapo kazi ipoMmepatia kabisa vyombo vipo vi3 tu basi.