Assume ndio siku yako ya harusi unakutana na vyombo kama hivi....

Assume ndio siku yako ya harusi unakutana na vyombo kama hivi....

Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!

Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,

Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! 😂 😂
Now I can imagine how SweetieLee looks like ..🤭
Remember this old cliche which says "The apple doesn't fall far from the tree"?
 
Tatizo bibi harusi anaonekana mileage inasoma 87,562km
 
Tutaenda kuwachafua na madamu yetu mabaya acha waoane wenyewe kwa wenyewe kuna species zingine weka mbali zitakuharibia your entire generation
Hold on

Wewe binafsi damu yako ikoje mkuu wangu?
Tunaweza kupata kizazi cha walimbwende au tunashukuru wazima
 
K ni ile ile ila zinatofautiana kwenye unenenene,zile nene kile kijamaa kiwe juu juu,zinahamasisha zaidi kila mara kuliko zile zenye kile kijamaa kiwe ndani hakionekani,alisikika mvuta bangi mmoja mitaa ya sinza kijiweni
Mkuu, kijamaa gani unachojaribu kukizungumzia
 
Back
Top Bottom