Astaghafirullahi!!...semani wenye kusema leo!

Astaghafirullahi!!...semani wenye kusema leo!

wakawawaida tu... mbona Miss TZ wetu mzuri kushinda huyu!
 
KIM-KARDASHIAN-BOWLING.jpg


Negative marks are awarded if I were the judge!!!
 
Nasikia juzi alikua anam-beep Reggie baada ya kumtema Austin Miles...hizi hela kweli zina matatizo.

Maskini pole yake but hii familia nayo mhh nilikuwa naangalia kipindi chao haishi kumtaja Reggie!
 
Katika course yangu ya masuala ya INFIDELITY nimekuja kugundua kuwa uzuri wa umbo au sura siyo ushujaa wa masuala yasiyoongeleka hadharani.
Ndo maana huwa nawaona warembo kama wanakosa kitu fulani maishani mwao maana wako busy kujiongezea au kumaintain status yao ya urembo lakini wanakosa skills za kumtoa mtoto wa bata dimbwini

dem huyo ni mrembo kwenye midomo tu lakini ukifunua walah hurudii tena labda akuhonge (takrima ya kiinfidelity)
 
dem huyo ni mrembo kwenye midomo tu lakini ukifunua walah hurudii tena labda akuhonge (takrima ya kiinfidelity)

hapa sijui mwenzetu una ushahidi gani maana that is a very strong statement. Ushamuona akiwa uchi wa mnyama au?...Ni swali tu.
 
gugu-mbatha-raw.jpg


Ab-Titchaz kama wewe ni mpenzi wa kile kipindi cha UNDERCOVERS kinachoonyeshwa NBC, Huyu Gugu Mbatha-Raw na Kim Kardashian nani mrembo!.
 
Mtani wewe unamzimia KK? Yegomasika Gugu ni mrembo kuliko KK.
 
Kanda lile utafikiri gladiator anataka kupigana huko Roma.
 
gugu-mbatha-raw.jpg


Ab-Titchaz kama wewe ni mpenzi wa kile kipindi cha UNDERCOVERS kinachoonyeshwa NBC, Huyu Gugu Mbatha-Raw na Kim Kardashian nani mrembo!.

Yegomasika,

Gugu anashinda maana si unajua tena she is the new kid on the block. Show yao bab-kubwa sana.

KK naona kama watu washamzoea nd'o maana vijineno kibao...:biggrin1:
 
Back
Top Bottom