Aston Villa inashinda mechi ya 4 mfululizo, tatizo ilikua ni nini?

ujuaji na kidomo domo chenu waTZ kilikuwa kinawapa gundu………...
 
Watanzania wanaonekana washamba huko kwenye mitandao na kurasa za watu, ustaarabu ziro kabisa
 
Wameziba matatizo kwa kuanza kusajiri mpka kipa nyuma..na mapengo mengi wameziba.
Dua zetu ziko pale pale piga spanaaa.
 
Watanzania wanaonekana washamba huko kwenye mitandao na kurasa za watu, ustaarabu ziro kabisa
Haya ni mambo ya kawaida kwenye soka ni sehemu ya mahaba waliyonayo watu.
Mbona wao wazungu walikuwa wanasema sammata ni shit?

Coutinho alivyosepa liver mbona mashabiki walichoma jezi? Au hao ni wabongo?

Acheni kujishusha wabongo
Mnapenda kujiweka watu wa chini
 
SAMATTA alikuwa anachanganya mambo yake ya kienyeji kwa wazungu wanao amini Mungu na mazoezi, mambo yakawa yanakwama, alipoondoka tu anga likafunguka na ndio unaona LiverFOOL ananyewa 7
 
SAMATTA alikuwa anachanganya mambo yake ya kienyeji kwa wazungu wanao amini Mungu na mazoezi, mambo yakawa yanakwama, alipoondoka tu anga likafunguka na ndio unaona LiverFOOL ananyewa 7
Ndumba ulaya hamna, pale Ni juhudi za MTU, sasa hii kucheza huku una mafuta ya kujipaka usoni uonekane pamoja na mzizi ukae kwenye kiatu matokeo yake ndy haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…