Hizo timu ulizotaja hapo huwa naziitaga vivuruge,yani wao hawachukui ubingwa kazi yao kuharibiana mood tu...Hapo naona kashinda mechi moja tu Sheffield United maana huu msimu toka uanze wamepoteana sana . Hizo timu nyingine sio kipimo kizuri.
Subiri wakutane na timu kama evarton, Wolverhampton, Leeds, crystal palace ndio tuanze kutoa pongezi
Kwan samata aliwakuta wanaongoza ligi
umeona eeh, basi tukubaliane Samatta level zake ni game za mchangani, pale UINGEREZA alipandishwa sanaNdumba ulaya hamna, pale Ni juhudi za MTU, sasa hii kucheza huku una mafuta ya kujipaka usoni uonekane pamoja na mzizi ukae kwenye kiatu matokeo yake ndy haya!
Tanzania ina watu wa hovyo sana mbaya zaidi hata watu wa maana wameingia kwenye huu uupuzi wanaandika comments za kijinga kwenye page ya Aston villa hii kipimo tosha kujua hii nchi ina watu wa sampuli ganiHivi vicomment vya hovyo hovyo ni vya kukemewa na kila mtu,comment za aina hii kwa mtu aliyepo abroad inatoa taswira gani kwenye nchi husika ilipotoka hiyo comment? wanaweza kudhani hiyo ndio tabia ya watu wote au ndio mentality ya watu wote Tz!
Samata angetakiwa aokoe vya kutosha ile timu ili na yy aendelee kubaki lakini ngekewa haikufanya kaziKwan samata aliwakuta wanaongoza ligi
Wakina shafih dauda ndy wanamkuza, akitoka uturuki aende Japan huko azidi kutakata awe anacheza asubh kwa majira ya hukuumeona eeh, basi tukubaliane Samatta level zake ni game za mchangani, pale UINGEREZA alipandishwa sana
Pumbavu wewe!
Hii ni mechi yao ya 3, tusubiri mechi ijayo wakapokutana na Leicester City ndipo nitahitimisha kauli yanguBado hujaona?
sahihi kabisa, Wachambuzi waBongo wanakuza sana mambo, Mbwana hakuwa na level za eplWakina shafih dauda ndy wanamkuza, akitoka uturuki aende Japan huko azidi kutakata awe anacheza asubh kwa majira ya huku
We huangaliagi mechi zao nimeona!Huoni michomo anayochomoa Martinez na ubora wa viungo wao.Walikosa umakini tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyu grilishi ni m-binafsi sana.
Aliikuta timu ipo shimoni haikuwa na muelekeo. Kutokana na makosa ya msimu uliopita kurekebishwa ndio imeinuka msimu huu.
Sie tuko Fenerbahce na Kituruki tumesha juajua
Timu ipo kileleni kwa sasa, Hii ni dalili nzuri. Mara paap wanakutana Aston Villa UCL msimu ujaoYasije tokea yaleyale ya Aston villa kunusurika
Gundu ilikuwa mtanzania ndani ya Timu au ulitaka kusema niniWakuu Salaam,
Hii timu sielewi ni kwanini inapata matokeo mazuri uwanjani kwa siku za karibuni.
Mechi za karibuni ni hizi:
View attachment 1583872
Aston Villa inashinda mechi nyingi kuliko hata Man Utd tena kwa kifua mbele kabisa, nini cha ziada kimefanyika ndani ya hii timu?
Wamesajili vizuri na wanawapanga wachezaj8 kucheza vizuriWakuu Salaam,
Hii timu sielewi ni kwanini inapata matokeo mazuri uwanjani kwa siku za karibuni.
Mechi za karibuni ni hizi:
View attachment 1583872
Aston Villa inashinda mechi nyingi kuliko hata Man Utd tena kwa kifua mbele kabisa, nini cha ziada kimefanyika ndani ya hii timu?
wala..tatizo ni nyinyi wachawiTatizo samata