Aston Villa inashinda mechi ya 4 mfululizo, tatizo ilikua ni nini?

Grelish ni mbinafsi sana mchezo wa jana aston villa wangepata goal zaidi ya 3. Lakini huyu grelish anaona kabsa wachezaji wezake wana nafasi nzuri ya kufunga yeye anaendelea na chenga zake tu mwisho ananyang’anywa mpira.

Angekuwa anatoa assit kama walivyocheza na liverpool jana tungeshuhudia aston villa goli 4-0.
 
Exactly, pamoja na kwamba anajua ila ubinafsi ni mwingi sana.
Na vile kocha hawezi tena koroma mana timu isije ikashuka sasa daraja kama akikoromewa...
 
Now Wana sprit ya kutosha ila mpaka msimu unafika Kati Kati kila mtu atarudi katika nafasi ake.
 
Upepo ushageuka sasa, ngoja tuone mechi ijayo...
 
Aston villa baada ya samatta kuondoka imekuwa ya moto wa kuotea mbali[emoji16] yaani ni balaaaa, ukienda kizembe unakula goal 5 [emoji16]
Kabisa.
Aston Villa alimnyonyoa Liverpool ila kama Samatta angekuwepo basi Liverpool angeshinda 9 kwa 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…