makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wakifungwa sana hata umuhumu wa Samatta utashuka.
Mpira tambo lake ni ushindi.
Timu unayofungwa 10-1 haiwezi kutamba kwamba imefungwa magoli 10 lakini ina goli moja ka Samatta.
Be sensibke please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni defeatist attitude.Nakubaliana na wewe!
Ila mkuu kufungwa 10 haifanyi mchango wako usionekane, utaonekana tu. Sasa kama mtu unafunga upande wa ulinzi unafanya vituko kwanini usionekane mchango wako!
Kifupi samata afunge awezavyo, aoneshe kiwango kizuri hata villa ikishuka daraja iwe rahisi kupata timu!
Hii ni defeatist attitude.
Kama kuna uwezekano wowote wa kutoshuka daraja, hiyo ndiyo iwe ficus. Si "hata Villa ikishuka daraja".
Samatta kaletwa Villa kwa malengo.
Moja ya malengo haya ni kuinusuru Villa isishuke daraja.
Prince William ni mshabiki wa Villa, kawaambia msiniangushe. Msishuke daraja. Sitaki timu yangu ishuke daraja.
Washqbiki kibao wa Villa hawataki ishuke daraja.
Sasa hapo Samatta kazi yake kuhakikisha wanashinda na Villa haishuki daraja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samatta anaweza kuinusuru Villa isishuke daraja au hawezi?Watashinda kwa samata kufunga tu vipi kuzuia! Haya samata ndio ameshafunga, villa wana matatizo kocha anashindwa kubadilika yule grealish si mzuri akitokea pembeni, ingependeza kama angempa jukumu la free role acheze chini ya mshambuliaji ama washambuliaji!
Hata villa ikishuka! Maana yake hilo ndio chaguo la mwisho kabisa! Hamna hamna! Nakubali villa wana malengo yao ila haimaanishi lazima wafikie! Wamemchukua samatta aongeze idadi ya magoli na kafanya hivyo!
Samata kufunga anatimiza wajibu wake ndani ya villa lakini pia anajitengenezea mazingira mazuri binafsi yake.
Hujajibu swali nililouliza, na ulilojibu sijauliza.Villa ni timu natumai unaelewa maana ya timu, kushuka ni kutegemea na jitihada za kuanzia kwa kipa mpaka 11, na mipango kabambe ya benchi la ufundi huko, kwa mchezo ule anaweza asiwanusuru.
Hujajibu swali nililouliza, na ulilojibu sijauliza.
Timu inajengwa na watu, haijengwi na matofali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Diana ndio yule aliacha Orodha flani tata?nimemkumbuka Diana Aston Villa! R.I.P Diana.
Umeongelea timu kama dubwana moja hivi kubwa halivunjiki into individual players.Nimekujib vizuri swali lako, ila jibu hulioni sababu sijajibu jibu ulilotaka wewe.
Kwani mie nimesema timu inajengwa na nani!![emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Umeongelea timu kama dubwana moja hivi kubwa halivunjiki into individual players.
Umekataa kujibu swali langu la kumhusu Samatta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka mtz mwingine acheze epl Samata atakua ameshakufa na mimi pia ntakua nimeshakufa.... maana itakua ni mwaka 2090Akiondoka Aston Villa mtahamia wapi?
Mtanzania mwingine akisajiliwa Watford mtajigawa vipi?
Wabongo bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaida ......
Tupo pamoja na Samatta kupeana Updates zote hapa .
Mechi ya kwanza ya Samatta Leo 28-01-2021
Aston Villa Vs Leicester City
Sent from my SM-J700H using Tapatalk