makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wakifungwa sana hata umuhumu wa Samatta utashuka.
Mpira tambo lake ni ushindi.
Timu unayofungwa 10-1 haiwezi kutamba kwamba imefungwa magoli 10 lakini ina goli moja ka Samatta.
Be sensibke please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe!
Ila mkuu kufungwa 10 haifanyi mchango wako usionekane, utaonekana tu. Sasa kama mtu unafunga upande wa ulinzi unafanya vituko kwanini usionekane mchango wako!
Kifupi samata afunge awezavyo, aoneshe kiwango kizuri hata villa ikishuka daraja iwe rahisi kupata timu!