hii Aston Villa sasa itakuwa ndiyo timu yangu ya pili kui support EPL hadi Samatta atakapohama.Uzi maalumu wa mashabiki wa Aston Villa aka blue army toka siku ya kwanza.
Huku kijana wetu Mbwana Ally Samatta akiwa amemwaga wino hii inatupa sababu zaidi ya kulisuport hili chama.
Kuwa around mambo zaidi yanakuja
Ile LIVA iliyopigwa kichwa na Samata..?hii Aston Villa sasa itakuwa ndiyo timu yangu ya pili kui support EPL hadi Samatta atakapohama.
lakini wakicheza na chama langu Liverpool hakuna namna, sorry itabidi Samatta asubiri tu!
yeah, LIVA iliyomfurusha Samatta kwa 5-2 nje ndani kwenye UCL!!Ile LIVA iliyopigwa kichwa na Samata..?
Hawezi yule mzee wa the theUng'eng'e aliogonga champion boy Mkulu hata asome QT miaka tisa hawezi..
Ahahahaaa shenzee kabisa weyeeeyeah, LIVA iliyomfurusha Samatta kwa 5-2 nje ndani kwenye UCL!!
na bado nyambaf!!Ahahahaaa shenzee kabisa weyeee
Kile kichwa so mchezo,,Ile LIVA iliyopigwa kichwa na Samata..?
Daah hili nimeliona leo maduka mengi yanauza jezi hizowatanzania hawaishi viroja,
Jezi za Aston Villa zimekua deal mno wale wa kuagiza mzigo China wafanye yao muda ndiyo huu.
Tubaki kote kote
Rasmi mimi ni mshabiki wa aston villa kwa muda wa miaka mi4 na musu ikitegemea na hatima ya samatta katika klabu hiyo.
Punguza jaziba ,jibu swali ,umeandika kama muhanga wa HamidaKwani arsenal wananipa ugali, atletico madrid walikuwa wananipa ugali! Simba wananipa ugali, taifa stars wananipa ugali!!!?
Usiandike comment yako kama una pumbu moja mzee.