makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ila wee jamaa mstaarabu sanaGood luck Samata.
Asante kwa mchango wako murua. Samatta ni kijana wetu.Kimsingi nitaanza kufatilia game za Aston Villa, niwe namwona Kijana wa Mbagala Majimatitu anavyopambana kuitangaza Tanzania.
Viva Samata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo watch your mouth
Tupo pamoja kaka,Uzi maalumu wa mashabiki wa Aston Villa aka blue army toka siku ya kwanza.
Huku kijana wetu Mbwana Ally Samatta akiwa amemwaga wino hii inatupa sababu zaidi ya kulisuport hili chama.
Kuwa around mambo zaidi yanakuja
Aisee
We jamaa niaje!!Dogo watch your mouth
malimbukeni utayajua tu! ungezaliwa SENEGAL AU BRAZIL SIJUI UNGEFANAYAJEUzi maalumu wa mashabiki wa Aston Villa aka blue army toka siku ya kwanza.
Huku kijana wetu Mbwana Ally Samatta akiwa amemwaga wino hii inatupa sababu zaidi ya kulisuport hili chama.
Kuwa around mambo zaidi yanakuja
Mzuqa Deo. Vipi ujamjulia hali kasusura?We jamaa niaje!!
Wewe upo daraja la ngapiHiyo si ipo ligi daraja la tatu
Bora hata Aston villa kuliko manyumbuTimu yenyew inabidi ipambane vilivyo kuhakikisha inabaki ligi wakimbwela mbwel watarudi Championship
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inakuuma nini...si ni yeye... Tunaanza kupangiana hadi vitu vya kushabikia.malimbukeni utayajua tu! ungezaliwa SENEGAL AU BRAZIL SIJUI UNGEFANAYAJE