Aston Villa special thread (Blue army)

Hili ni chama langu la utotoni,maana mimi ni mzaliwa wa haya maeneo ya VILLA PARK, huu uwanja upo mkabala na nilipokuwa naishi na ndipo nilipoanza kuishabikia na kuipenda hii timu.....


Go go go go Villa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni chama langu la utotoni,maana mimi ni mzaliwa wa haya maeneo ya VILLA PARK, huu uwanja upo mkabala na nilipokuwa naishi na ndipo nilipoanza kuishabikia na kuipenda hii timu.....


Go go go go Villa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha dah wabongo sio watu wazuri...hata mimi nikitoka leo utaskia mnasema "yule jamaa angu toka enzi za utotoni,hata nickname yangu ilkuewga citizen A"
 
Kama kawaida ......

Tupo pamoja na Samatta kupeana Updates zote hapa .

Mechi ya kwanza ya Samatta Leo 28-01-2021
Aston Villa Vs Leicester City

Sent from my SM-J700H using Tapatalk

Channel gani ya Supersport wataonyesha leo leo usiku?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Azam tv wataonyesha hii game,kwahiyo kinyumbani nyumbani zaidi
 
Natabiri Samata atafanya vibaya EPL, na kwa kuwa watz hatuna succession plan kwa vipaji vyetu basi ndio habari yetu itakuwa imeishia hapa.


Yatakuwa yaleyale kama ya Hashim Thabit.



Unforgetable
 
Natabiri Samata atafanya vibaya EPL, na kwa kuwa watz hatuna succession plan kwa vipaji vyetu basi ndio habari yetu itakuwa imeishia hapa.


Yatakuwa yaleyale kama ya Hashim Thabit.



Unforgetable
Bongo wachawi hawaishi asee duuh, kazi ya kutabiria watu mabaya tu
 
Get Involved
#bbcfootball or 81111 on text
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…