Nimeiangalia vizuri jana Aston Villa,kiujumla ili Samatta aweze kuwa mfungaji mzuri kunahitajia forward wazuri wa kushirikiana naye,nimemuona akiwa anategemea kupata michongo ya mipira kuja mbele lakini ilikuwa ni michache sana,unaweza usione sasa hivi anafanya nini lakini anaweza kuchezea timu yenye forward wazuri kama Liverpool akafanya maajabu.
Ki ujumla Samatta bado atabakia kuwa ni mfungaji mzuri sana na ninatabiri msimu ujao anaweza hata kununuliwa na timu nyingine zinazofanya vizuri EPL...