Aston Villa yafungua lockdown, Samatta apigwa benchi

Aston Villa yafungua lockdown, Samatta apigwa benchi

Alienda kufanya nini Aston?....
Mtanzania wa kwanza kucheza English Premier League!

Angesubiri timu bora angeweza kuumia huko Ubelgiji akafia huko huko na kusahaulika!

Huwezi kumlaumu sana, ilikuwa ni nafasi ya kihistoria ambayo labda isingekuja tena. Tusisahau hela iliyohusika pia. Vichwa vya habari vilichora picha halisi ya tukio hilo.

Samatta 6.JPG


Samatta 5.JPG


Samatta 4.JPG


Samatta 3.JPG


Samatta 2.JPG


Samatta.JPG



Ndio, unaenda timu ya mwisho kwenye ligi, lakini jiweke kwenye viatu vyake, wewe ungefanyaje?
 
Mtanzania wa kwanza kucheza English Premier League!

Angesubiri timu bora angeweza kuumia huko Ubelgiji akafia huko huko na kusahaulika!

Huwezi kumlaumu sana, ilikuwa ni nafasi ya kihistoria ambayo labda isingekuja tena. Tusisahau hela iliyohusika pia. Vichwa vya habari vilichora picha halisi ya tukio hilo.

View attachment 1482231

View attachment 1482233

View attachment 1482237

View attachment 1482240

View attachment 1482242

View attachment 1482244


Ndio, unaenda timu ya mwisho kwenye ligi, lakini jiweke kwenye viatu vyake, wewe ungefanyaje?

True lakini ndo anashuka nayo sasa kwa mpira wanaocheza.Jana wangefikisha point 28 wangepunguza pressure.
 
Mpira unaendelea mechi ya kwanza baada ya lockdown; Mbwana Samatta anasugua! Dalili mbaya kwa Samatta.

Aston Villa 0
Sheffield United 0

Dakika ya 35
hii timu sioni miujiza ya kuikwepesha kushuka daraja, ina changamoto nyingi kuanzi beki, kiungo mpaka striker, Samata mwenyewe naona hafiti kwenye huu mfumo sababu unahitaji striker anaye press hard na sikion hichi kwa Samata.
 
hii timu sioni miujiza ya kuikwepesha kushuka daraja, ina changamoto nyingi kuanzi beki, kiungo mpaka striker, Samata mwenyewe naona hafiti kwenye huu mfumo sababu unahitaji striker anaye press hard na sikion hichi kwa Samata.

Na mimi nashangaa kwa nini kocha Dean Smith haoni kwamba kule mbele Samatta peke yake hawezi.

Mashabiki wa Villa wanasema hajafunga goli wala hajasaidia timu kutafuta goli, maana mpira wenyewe hagusi.

Alipogusa akaruka akatulia mgongo, chali!

No foul contact, no whistle. Physical fitness in question.

Allly chali 2.JPG
 
Na mimi nashangaa kwa nini kocha Dean Smith haoni kwamba kule mbele Samatta peke yake hawezi.

Mashabiki wa Villa wanasema hajafunga goli wala hajasaidia timu kutafuta goli, maana mpira wenyewe hagusi.

Alipogusa akaruka akatulia mgongo, chali! No contact, no foul.

Physical fitness in question.

View attachment 1482326
Samata mpira wa pressing hawezi, Villa walikuwa wanahitaji aina ya striker kama Tammy Abram, striker mpambanaji, ndiyo maana kipindi wapo championship walionekana hatari kwa ajili ya Tammy...Tammy anakaba, anahold, anapress na anafunga
 
Tatizo la Aston Villa ni kocha, timu waliyonayo siyo ya kushuka daraja.

Inaonekana hakuna sauti inayowaunganisha kucheza kitimu. Kila mchezaji ana agenda yake.
Kocha Dean Smith tatizo, na yule midfielder captain Grealish nae tatizo.

Hivi Ally akiwa na issue ya kiufundi anataka kumwambia Dean Smith wanawasiliana vipi? Kuna msaidizi wake?

Na pia Ally ni mgeni pale, akiongea nae anamuamini vipi Dean Smith kwamba hataenda kusema kwa kina Jack Grealish jamaa analalamila hamumpi mapande?

Yuko mahala pagumu.
 
KAPTENI anampigia chapuo kijana Keinan Davis, mwingereza mwenzie, aliyecheza ligi ya Uingereza kwa mara ya kwanza juzi, Aston Villa walipofungua dimba kutoka kwenye lockout, na akimaanisha, bila kutamka, kwamba huyu ndio anatakiwa kushika namba ya Samatta.

Hii si nyota njema kwa Mbwana.

Jack Grealish hails Aston Villa teammate Keinan Davis

aston-villa-v-sheffield-united-premier-league-768x510.jpg


Jack Grealish has heaped praise on Aston Villa teammate Keinan Davis,, and said: "In training he has been absolutely unplayable."

The skipper believes the striker's Premier League debut was fully deserved after impressing over the last four weeks at Bodymoor Heath.

The 22-year-old was given the nod over Mbwana Samatta by Dean Smith, and Grealish said: "He was brilliant. I bet you there's fans of ours who don't know too much about him and fans who probably didn't expect him to play.

"But he's come back fit and sharp and, honestly, in training he has been absolutely unplayable so from a few people's point of view it was a no-brainer giving him a start.
 
Aston Villa ni kitimu cha kawaida tu kama hii timu anayochezea Lamine Moro.
sijajua kwanini watanzania wengi wenu mnachukia jamaa kutusua UK EPL
unachukia/kudharau mafanikio.ya mwenzio itakusaidia nini
 
Back
Top Bottom