Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli

Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Maisha magumu sana aisee. Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli. Halafu sijui hawajui kuwa tulishawastukia! Kuandika kwenyewe hawajui. Wanadhani kila mtu anaishi nyumba ya kupanga. Wanasaikolojia wakisaidie hiki kizazi. Ajira zimekuwa ngumu sana
Screenshot_20240914-222435_1.jpg
 
Maisha magumu sana aisee. Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli. Halafu sijui hawajui kuwa tulishawastukia! Kuandika kwenyewe hawajui. Wanadhani kila mtu anaishi nyumba ya kupanga. Wanasaikolojia wakisaidie hiki kizazi. Ajira zimekuwa ngumu sana View attachment 3095957
 

Attachments

  • Screenshot_20240914_225241_Truecaller.jpg
    Screenshot_20240914_225241_Truecaller.jpg
    205 KB · Views: 4
Bora hata huyu wa kwako ana mwandiko mzuri. Huyo alonitumia mimi hata kuandika vizuri hajui.
 
Maisha magumu sana aisee. Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli. Halafu sijui hawajui kuwa tulishawastukia! Kuandika kwenyewe hawajui. Wanadhani kila mtu anaishi nyumba ya kupanga. Wanasaikolojia wakisaidie hiki kizazi. Ajira zimekuwa ngumu sana View attachment 3095957
Kazi ni mapema kabisa, mahesabu jioni
 
Kitu ambacho hamkielewi hapo ni kwamba SMS inatumwa kwa watu elfu kadhaa huku mtumaji akiwalenga watu wa aina fulani pande zote za wenye nyumba na wapangaji.

Msidhani hawajui kuandika...

Kuna wapangaji wengi wenye elimu nzuri tu waliopanga kwa wenye nyumba ambao hawajui kuandika vizuri kitu ambacho akiona sms kama hiyo, moja kwa moja unakuta akili yake inatamatisha kwamba ni mwenye nyumba wake hivyo hatua ya kwanza ya kutapeliwa inakuwa imeanza.
 
Kuna jirani yangu aliwajibu, mnielekeze mlipo niwaletee. Wakamjibu we ungeweza?
 
Back
Top Bottom