At least 13 US service members killed in Kabul airport attack

Kwa nini mnapenda uchochezi usiyo na msingi?

Unaiamsha fitina ili iweje?

Unapenda kuona watu wanaparuana kwa matusi, kejeli na kudhihakiana?

uchochezi wangu upo wapi apo?
 

ndivyo mtume wenu alivyowafundisha kuita binadamu wenzio nguruwe watu wachache kama nyie ndiyo mnaofanya uisilamu uchukiwe,
 
Sasaivi eti wanasema Urusi na China wanaplay part ya hapo

haijalishi ni nani kapiga bom kazi ya kuilinda afganistani ipo chini ya talibani wao ndiyo wanaobeba lawama zote, acha kuleta mbwembwe shekhe kwenye maisha halisi tuweke siasa na mahaba ya kidini kando ifike mahali tujali uhai wa watu, talibani wameiondoa serikali iliyokuwa madalakani kihalali sasa ni jukumu lao pia kulinda maisha ya waafganistani,
 

ndicho kinachokufurahisha shekhe huo sio uisilamu
 

uisilamu ni kama bangi ukishaingia kichwani ni shida
 
Hao taliban si watumiwe na nchi jiran na Israel ili wayahudi wakimbie huko hasa ile milima golan Syria warudshe maana taliban wanaonekana wameshawahi wagonga urusi wakakimbia sasa marekan naye kakimbzwa waarabu wanasubiri nn kuwatumia kumtoa myahudi pale
 
Kwahio unamaanisha Serikali ilioekwa na Marekani ndio halali ile ya wao wenyenye sio halali
 
Kwahio unamaanisha Serikali ilioekwa na Marekani ndio halali ile ya wao wenyenye sio halali

unahakika gani iliwekwa na marekani, talibani sio chaguo la wa afganistani imejiweka yenyewe na ndiyo maana raia wameamua ni heli kuwa wakimbizi marekani kuliko kuwa chini ya utawala wa kiwendawazimu wa talibani,
 
uchochezi wangu upo wapi apo?
"wanakupenda kwa makafiri"

Hii kauli kwa mtu mwenye nidhamu hawezi kuitumia kwa sababu anajua athari ya matokeo ni yapi hususani humu JF.

Na ndivyo historia ya Jf humu ndivyo ilivyo na historia ni "fact".

Wewe unaitumia hii lengo lako ni lipi kama si kuiamsha fitina watu waparuane?

Na huo ndiyo uchochezi.
 
Hivi tatizo ni uislamu au nini? Kwamnini hawa waislamu wanawaua wenzao kikatili hivi na kuamini wako sahihi? Ni dini yao inaruhusu haya?
 
makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Mstaarabu wewe kwani wanaochinjana si waislamu kwa waislamu?
Tunaomba sana mchinjane mmalizane ili dunia yetu ipate kutulia kwa kubaki na wanaomjua Mungu.
 

kauli hii anapoitumia [mention]STRUGGLE MAN [/mention] ya kuita watu makafiri kwako inakuwa sawa ila tatizo ni pale anapoitumia mtu unaye hisi si wa imani sawa na yako,
 
kauli hii anapoitumia [mention]STRUGGLE MAN [/mention] ya kuita watu makafiri kwako inakuwa sawa ila tatizo ni pale anapoitumia mtu unaye hisi si wa imani sawa na yako,

Kwa nini unatumia sana hisia kuutafuta ukweli?

Hakunijibu kwa sababu anajua alichokifanya!
 
View attachment 1912224
Kwa nini unatumia sana hisia kuutafuta ukweli?

Hakunijibu kwa sababu anajua alichokifanya!
Kuna watu humu wanatakiwa watumiwe majibu ya force kutokana na mabaya kutokana matamshi yao, sio wote wanastahiki majibu ya upole, nadhani sio mgeni ww humu ndani, mtu anapokuita gaidi au kumtukana Mtume siwezi kumvumilia lazima apate majibu mkabala [emoji23]
 
mkuu wewe ni mmoja kati ya watu wenye hekma humu jf
Kuna wahuni humu, mkitumia lugha nzuri tutaenda vizuri mkitumia lugha mbaya tutaenda na nyinyi mpaka akili ziwakae sawa we don't f...kn care [emoji23]
 
Bongo Hakuna Uislam... Uislam ule wa vitabuni kabisa upo ISIS and Taliban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…